Kama huo ndio ubunifu na namna tunavyofanya biashara katika nchi yetu, sishangai tumeitia unajisi nchi yetu katika kila sehemu.Kusaga anajua biashara za KITANZANIA zinavyofanyika. Ana mtandao mpana, wa uhakika karibu kila mahali ambapo anajua kuna maslahi. Vipindi vyote kwenye radio vina udhamini mzito na matangazo kibao. Anajua sana "KURUDI" kwa wanaompa kazi hizi. Staili hii ya biashara ndio Mzee Mengi amejaribu kuepukana nayo na anaelekea kufunga kila kitu. Wapo wengi wanaoumia kwa staili hii ya Kusaga lakini pia amewabadilishia maisha watu wengi sana. Wengi wamenunua vigari, wamejenga vijumba, wameanzisha vibiashara vidogo kutokana na "UBUNIFU" huu wa Kusaga.
Nilipata habari kijana mmoja tulisoma naye Secondary, siku hizi anaonekana akisali sana na Lowassa kanisani. Wataingia na kukaa viti vya mbele. Hao wote siku hizi wamefanikiwa sana kwa kupewa vimiradi vidogovidogo na wazee. Ubunifu wao wa kukaa karibu na mafisadi umewafikisha na wao mbali.
Yaani Ujanja ujanja tu Tanzania (maneno ya Mzee FMes).
Nafurahia USA, ukijifanya wewe kumonopoly kila kitu, wazee wa Taifa wanaingia na kukushughulikia. Niliona Billy Gates akilia baada ya kubanwa na wazee kisawasawa. Aliulizwa "unasema wewe hukuagiza kuuwa mashirika ya upinzani, hii barua nani aliandika..." Jamaa akaangalia na huku akitokwa machozi akajibu "...Computer".
Kuna siku hawa akina Kusaga nao watakuja kuwekwa chini na kujibu madhambi yao yote. Mwisho wao watakuja kujuta na kusaga meno na kujiuliza kwa nini hawakushtuka mapema na kuacha uharamia wao.
Anaweza aache kupiga miziki ya mtu, na kila kitu ila hii ya kuhakikisha unamzibia kila kitu mwenzio kwa sababu tu kakataa kuwa chini yako, this is too much. Tutaonana siku moja mahakamani.
Mwanakijiji alikuja na wazo la kuchangia Mafuriko. Akawasiliana na akina Makamba. Wazee wa MUJINI wavivu wa kufikiri wakaona hilo wazo zuri kujipandishia chat. Wakaiba mawazo na wakajifanya ni mawazo yao wenyewe. Wakakusanya misaada na kwenda mrundikia Pinda, utafikiri Pinda ndiyo anayeshughulikia misaada ya mafuriko. Lohhhhh!!!!
Genge la watu wasio WABUNIFU na Wavivu wa KUFIKIRI. Wezi wa mawazo ya wenzao.
Nilipata habari kijana mmoja tulisoma naye Secondary, siku hizi anaonekana akisali sana na Lowassa kanisani. Wataingia na kukaa viti vya mbele. Hao wote siku hizi wamefanikiwa sana kwa kupewa vimiradi vidogovidogo na wazee. Ubunifu wao wa kukaa karibu na mafisadi umewafikisha na wao mbali.
Yaani Ujanja ujanja tu Tanzania (maneno ya Mzee FMes).
Nafurahia USA, ukijifanya wewe kumonopoly kila kitu, wazee wa Taifa wanaingia na kukushughulikia. Niliona Billy Gates akilia baada ya kubanwa na wazee kisawasawa. Aliulizwa "unasema wewe hukuagiza kuuwa mashirika ya upinzani, hii barua nani aliandika..." Jamaa akaangalia na huku akitokwa machozi akajibu "...Computer".
Kuna siku hawa akina Kusaga nao watakuja kuwekwa chini na kujibu madhambi yao yote. Mwisho wao watakuja kujuta na kusaga meno na kujiuliza kwa nini hawakushtuka mapema na kuacha uharamia wao.
Anaweza aache kupiga miziki ya mtu, na kila kitu ila hii ya kuhakikisha unamzibia kila kitu mwenzio kwa sababu tu kakataa kuwa chini yako, this is too much. Tutaonana siku moja mahakamani.
Mwanakijiji alikuja na wazo la kuchangia Mafuriko. Akawasiliana na akina Makamba. Wazee wa MUJINI wavivu wa kufikiri wakaona hilo wazo zuri kujipandishia chat. Wakaiba mawazo na wakajifanya ni mawazo yao wenyewe. Wakakusanya misaada na kwenda mrundikia Pinda, utafikiri Pinda ndiyo anayeshughulikia misaada ya mafuriko. Lohhhhh!!!!
Genge la watu wasio WABUNIFU na Wavivu wa KUFIKIRI. Wezi wa mawazo ya wenzao.
FL1, unauliza PUA iko wapi wakati unauona Mdomo?
Kama unamuona Ruge basi kumbuka pembeni yake yuko DON Kusaga.
Bibie Makamba wa kwanza kushoto. Na huyo mtashi ni boss sijui wa Vodacom?
Halafu watu wanasema Wazungu wana akili sana. Mbona hili lilimshinda kuligundua? Hebu tuacheni Vi-complex.
Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa Tanzania ambao wengi wao ndoto zao zinaishia hewani kutokana na ufisadi unaofanywa na The Don of entertainment Tanzania Mr. Joseph kussaga kama anavyopenda kujiita The Don aka Mullah.
Hata RA ni Self Made Bilionea mkuu
maswali na majibu tuko bungeni hapa?wewe ndio unakurupuka haya sasa mtoa mada haonekani na mada yake hajaimalizia utamuuliza hilo swali nani akujibu?kama yeye aliamua kumwaga maovu ya kussaga na watu wake aweke madai yoote hapa jamvini watu wayajadili kwa uwazi hata yeye akipotea mada itaendelea kujadiliwa mpaka kifo cha JF.Nawewe pia usikurupuke na kumchagulia staili ya kujieleza, mpe nafasi mwache atueleze kwa staili yake, kama ni ya maswali na majibu
Mwanakijiji alikuja na wazo la kuchangia Mafuriko. Akawasiliana na akina Makamba. Wazee wa MUJINI wavivu wa kufikiri wakaona hilo wazo zuri kujipandishia chat. Wakaiba mawazo na wakajifanya ni mawazo yao wenyewe. Wakakusanya misaada na kwenda mrundikia Pinda, utafikiri Pinda ndiyo anayeshughulikia misaada ya mafuriko. Lohhhhh!!!!
Genge la watu wasio WABUNIFU na Wavivu wa KUFIKIRI. Wezi wa mawazo ya wenzao.
la Tanesco mashaka, eti wanakata umeme mtaa mzima, kisha anakuwa amekodi Transfoma zote kubwa DAR. Hii kali!!
Kama jamaa ndiyo mkodishaji mkubwa wao wa siku nyingi, anaweza kuwatishia. Na wao kwa kufahamu kuwa jamaa asipokuja kukodisha watakaa bila kipato, wanaweza kusalimu amri.
Mbona kuna jama kanunua vitabu vyote Mwanza hapo juzi na kuvichoma? Mafia wanaweza lolote lile. Hii nchi kila mtu ana matatizo yake na makosa yake. Kubanwa kwenye mlango na ukakosa pa kutokea ni rahisi sana.