Joseph Kussaga na ufisadi wake katika entertainment Tanzania

Dah pole sana ndugu kwa kufungiwa njia, usijali kwa hilo Mungu atakufungulia kwa njia nyingine ila usijaibu kulipiza kisasi au kutaka kushindana na mtu kama huyo maana unaweza kujikuta matatani bure, kuwa mwangalifu na jipange upya kamwe hawezi kuziba milango yote.
Mkuu sitaki kulipiza kisasi wala kushindana nae ila nimekaa nikajiuliza ni wangapi wameathirika na wataendelea kuathirika na mtandao huu mbaya?na je utaendelea mpaka lini?
 
Najua mwanzoni itakuwa ngumu kueleweka kwakuwa maswali mengi yatajitokeza kutokana na thread hii,Ila ningependa kufafanua zaidi kwamba mimi sikuwa mshiriki wa Kussaga bali nilikuwa muajiliwa niliye kifungoni kama wasanii wanavyowekwa kifungoni lakini imefikia wakati nimeshindwa...mimi fani yangu kubwa ni mwana burudani,nilijitoa Clouds FM miezi michache iliyopita na kujaribu kuendeleza fani yangu kimwenyewe mwenyewe lakini mambo yanayonikuta ni kwamba nimefungiwa njia zote na huyu jamaa na hakuna njia yoyote ya mimi kujiendesha binafsi kwakuwa nyanja nyingi zinazohusiana na Entertainments zimeshabanwa.Labda nibadilishe fani au nikubali kuendeshwa na huyu jamaa kama anavyotaka yeye.

wengi watafikiri ni udaku au majungu au Chuki lakini si hivyo kabisa.kuna mambo mengi sana ya kifisadi yanaendelea katika fani hii ambayo kwa mimi binafsi ninauhakika tunaweza kuyakemea kwa maslahi ya jamii. mi nafikiri tuwe wavumilivu na tuijadili hoja hii kiupole zaidi.

Afro usitishwe na wachangiaji wanaokukatisha tamaa. Wengine hapa wapo kutetea huo huo uovu na ni marafiki wa haohao waovu. Mwaga data ili mradi ziwe za ukweli na itakuwa vizuri zaidi ukitoa na mifano ili kuimarisha hoja zako....
 
SEMA SEMA MKUU, achana nao wanaouliza eti ulikuwa naye, oes not make sense, hata kama na wewe ulikuwa fisadi umekimbia umeachana naye, haina tatizo , we need information, tunajua hakuna mapatano na urafiki wa kudumu wa wanaotenda makosa.

weka kila kitu naked, hata kama na wewe ulihusika, they call it CONFESSION, sasa great thinker badala ya kumkaribisha mkuu aseme openly , mtu anauliza 'mmedhulumiana', na 'wewe hao hao', what the heck is is this people??

uwanja wako!! taja majina, kama una vithibitisho weka hapa, ndiyo tunachotaka hapa

JF members hakuna aliyewaambia JF can perform as a church or mosque???!
 
Udhamini(sponsorships):
Kila kampuni kubwa kawaida inakuwaga na kikao kimoja kikubwa cha bajeti kwa mwaka.
Ndani ya bajeti hiyo kunakuwa na kitengo cha promotion,
Na ndani ya kitengo cha promotion kunakuwa na kipengele kingine cha udhamini wa shughuli za jamii.

Kinachofanyika basi,
Huyu bwana amewashikiria au anashirikiana na wakuu wa vitengo vya promotion katika makampuni mengi makubwa hapa nchini..mfano makampuni ya simu,vinywaji nk.

Pindi mkuu wa kitengo cha promotion anapotoka mwisho wa kikao cha bajeti mtu wa kwanza kumtafuta ni Bwana Kussaga.
anamtafuta kwanini?
Kwakuwa anataka apresent bajeti yake ya mwaka iliyopitishwa kwenye kikao hicho cha bajeti. Mara nyingi kwa kampuni kubwa za hapa nchini promotion bajet ya mwaka inakuwaka kati ya bilioni mbili hadi tatu kwa mwaka mzima.

Na akiisha ipeleka kwa Kussaga ,Asilimia 90 ya bajeti hiyo itadhamini matamasha ya CLOUDS na anaitengenezea bajeti hiyo matamasha ya mwaka mzima ambayo yatakuwa na udhamini huo.

Manufaa ya mkuu wa promotion kwenye bajeti hiyo ni 10% inaenda mfukoni mwake,mfano bajeti ya mwaka mzima ni bilioni mbili,jamaa wa promotion anauhakika wa 10% (200,000,000)kutoka kwa kussaga iwapoa ataouthorise malipo hayo.
Ndiyo maana unakuta maonyesho mengine baki yanayoandaliwa na makampuni mengine yanakosa udhamini kwa kuambiwa kwamba bajeti iko tight.

mfano mzuri ni Onyesho la boyz 2 men lilivyoenda kihasara kwa kukosa udhamini na badala yake hapohapo na katika wiki hiyo hiyo clouds waliform onyesho lingine lakina fat joe na Eve ambalo lilikuwa full sponsord ili kulifunika onyesho hilo na iwefundisho kwao.

Vitu kama hivi Vinasikitisha kwakweli na vinalenga manufaa ya watu fulani tu na si kwa jamii.
 
Tanesco:
Iwapo kuna tamasha lolote linaendelea na yeye hakubaliani nalo kwakuwa labda siku za mbeleni litakuwa na ushindani katika matamasha yake makubwa ya mwana,watu wake wakubwa wa kuvuruga mambo ni Tanesco.Kussaga ameshikiria karibia wakuu wote wa Tanesco kwenye wilaya zote za Dar es salaam. kwa mantiki hiyo basi,Taacha onyesho liandaliwe kwa kila kitu na kwa gharama kubwa na siku ya onyesho,eneo hilo la tamasha litakatwa umeme ili kulikwamisha tamasha hilo na nia kubwa ni kulivuruga tamasha hilo na kuwatisha wadhamini ili wasilidhamini tmasha hilo tena kwa siku za mbeleni kwakuwa tayari limeshaingia dosari. na umeme kwa kawaida ukatika pindi onyesho linapoanza na kama hamjajiandaa kikamilfu na mapema huo ndiyo mwisho wa onyesho hilo kwakuwa majenereta yote makubwa ya mjini anakuwa ameshayakodi ili mkose pa kukodi,na majenereta yanayoweza kuendesha onyesho kubwa kama hilo ni machache mjini na yanajulikana ni ya kina nani.
Mbombo ngafu,Kazi ipo then watu wanasimama vilingeni nakujidai eti wamefanikiwa kwa jasho lao kumbe ni dhulumati,hakika tutakiona cha moto kwa Mungu,hao hao huwa kimbelele kwenye TV,Radio na makongamono kutoa ushuhuda jinsi walivyofanikiwa na kujifanya ni watu wa kazi kumbe wizi mtupu hovyo,akina Don wako wengi tu na sio kwenye siasa tu hadi kwenye burudani
 
Wazee wa jahazi mupooo,haya mnapenda kukosoa wenzenu nanyi mnaumbuka sasa,hebu Kapteniii tupa data hizo za kiufisadi
 
Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)

Imefikia wakati watu wanaogopa kuacha kazi kwa kuwa ukiamua kuacha kazi clouds basi umeacha na shughuli za sanaa au burudani.
na ukiacha kazi clouds basi wewe ni moja ya maadui wakubwa wa Kussaga kwakuwa anajua unajua mambo yote anayoyafanya na anajua unaweza kufanya kitu cha maana katika Entertainments na pia unaweza kuja kuwa mshindani wake mkubwa kibiashara siku za mbeleni.

Anachokiwanya anwasiliana na viongozi wa vitengo vya promotion vya makampuni makubwa kwa mantiki ya kwamba pindi utakapoiwakilisha event proposal yako kwa wadhamini kwa nia ya kuomba udhamini,ile proposal itatumwa na viongozi hao wa udhamini muda huo huo by fax na yeye baada ya kuisoma ndiyo anawainform wadhamini hao wakupe udhamini au la,kama ataipenda ideal yako ya event uliyoiandika kwenye proposal hiyo basi anawazuia wadhamini hao wasikupe udhamini na baada ya muda kidogo utasikia ideal ya onyesho lako lile lile ambalo lilishindwa kufanyika kwa kukosa udhamini linafanywa na CLOUDS likiwa na full udhamini, hapo sasa ndiyo utabaki mdomo wazi...hiyo ni baadhi tu ya mambo yanayoendelea kwenye nyanja ya udhamini.
 
Anachosema hapa Afro siyo kitu kigeni katika masikio ila inapendeza zaidi kama yeye alikuwa huko jikoni. Thread ya Mr.2 na zinduka imeeleza sana issue za hawa jamaa.

mkuu, weka kila kitu wazi kabisa, ukiweza taja na majina ya wahusika, let JF be mahakama ya raia inayotoa adhabu za kisaikolojia!
 
Ikiwa ni post yangu ya kwanza,ningependa kuwajulia hali wana JF na wadau wote wenye nia njema na nchi yetu Tanzania.

Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa Tanzania ambao wengi wao ndoto zao zinaishia hewani kutokana na ufisadi unaofanywa na The Don of entertainment Tanzania Mr. Joseph kussaga kama anavyopenda kujiita The Don aka Mullah.

vifuatavyo ni vipengele ambavyo niko tayari kuvielezea kwa atakae taka kujua kiundani jinsi bwana huyu alivyoishikiria nchi kwenye nyanja ya burudani kwa maslahi yake binafsi.


  • Udhamini(sponsorships)
  • Bongo flava
  • Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)
  • Polisi
  • Tanesco
  • kumbi za starehe
  • Umalaya
  • na chochote kuhusiana na burudani Tanzania.
Mimi ni mmojawapo wa watu wake wa karibu ambao katika wachache waliofanikiwa kujikwamua kutoka kwenye himaya yake na nimeamua kujitoa muhanga na kuweka hadharani chochote wana JF ambacho kinawakwaza kuhusiana na Ufisadi unaoendelea kwenye burudani Tanzania.

Kwakuwa ningependa kufafanua kimpangilio ndiyo maana nimeweka vipengele hivyo hapo juu ili niweze kuvifafanua inapobidi. Kutokana na ufisadi huu kuwa mkubwa na wenye network nyingi ningependa kufafanua kipengele kwa kipengele kama nilivyoviorodhesha hapo juu lakini iwapo ntatakiwa kufanya hivyo.

Nawakaribisha jamvini wana jamii ili tuweze kuutokomeza ufisadi huu kwa maslahi ya taifa.

Ahsanteni na karibuni.

Umalaya,
Kama nilyowahi kuyasoma kwenye mjadala wa MR 2 n ruge,kuna mdau mmoja alitoa hoja kuhusu bwana Ruge ya kwamba ili kumtoa msanii ni lazima alale nae ndiyo amtoe...hoja hiyo ni ukweli mtupu na si kwa wasanii tu bali mtu yeyote mwenye jinsia ya kike akija kuomba msaada wowote wa kimaendeleo ni lazima avue chupi.

Nikija katika suala la Bwana Kussaga,ni vile vile kama Ruge ila yeye kwa kiwango cha juu zaidi. yeye ni kwa wanawake wa wafanyakazi wake yani watangazaji,vitengo vya udhamini vinavyosimamiwa na wanawake,wanafunzi walomaliza vyuo vya uhandishi wa habari na kutaka kuja kufanya practical Clouds FM. Na kibaya zaidi,katika kila tamasha analofanya anatenga complimentaries 50 kwaajili ya kina dada ambao anauhusiano nao na anajua mwisho wa siku watampigia simu kuomba complimentary na ni vigumu kwa yeye kuwanyima kwakuwa anajua kinichoendelea.

Kwenye haki za msanii mara nyingu husimamiwa na bwana Ruge,Yeye Kussaga anachofanya ni kumbana na kulazimisha msanii kusaini mkataba anaoutaka yeye kwenye tamasha mabalo kussaga anataka msanii huyo aperform. kwa mfano,kuna tamasha la la Fiesta kuzunguka mikoa karibia 10 na tamasha hilo litachukua miezi mitatu kwa ujumla.lakini anachofanya anamsainisha msanii mkataba miezi miwili kabla na mojawapo ya sheria za mkataba huo ni kutokea siku msanii anaposaini mkataba huo,msanii haruhusiwi kujihusisha kwenye shughuli yoyote ya kisanii hadi mkataba huo utakapoisha. Inamaanisha msanii atakuwa kifungoni kwa miezi mitano bila kufanya chochote. na kwenye makubaliano ya malipo anawalipa kiwango anachotaka yeye na iwapo anataka ushiriki kwenye tamasha hilo na ukaonyesha hali yoyote ya kutoridhika na mkataba huo basi atakwambia kabisa huo ndiyo mwisho wako kiusanii na kinachofuata ni kwenda moja kwa moja libraly na kuvunja cd yoyote yenye sauti yako na nyimbo yako yoyote hata kama umeshirikishwa haitasikika kwenye kituo cha CLOUDS FM. Malipo ya msanii always yanakuwaga ni asilimia 25 ya pesa aliyoomba kwa wadhamini kwa ajili ya kumlipa msanii kwenye ushirikishi wake wa Tamasha.

Tanesco:
Iwapo kuna tamasha lolote linaendelea na yeye hakubaliani nalo kwakuwa labda siku za mbeleni litakuwa na ushindani katika matamasha yake makubwa ya mwana,watu wake wakubwa wa kuvuruga mambo ni Tanesco.Kussaga ameshikiria karibia wakuu wote wa Tanesco kwenye wilaya zote za Dar es salaam. kwa mantiki hiyo basi,Taacha onyesho liandaliwe kwa kila kitu na kwa gharama kubwa na siku ya onyesho,eneo hilo la tamasha litakatwa umeme ili kulikwamisha tamasha hilo na nia kubwa ni kulivuruga tamasha hilo na kuwatisha wadhamini ili wasilidhamini tmasha hilo tena kwa siku za mbeleni kwakuwa tayari limeshaingia dosari. na umeme kwa kawaida ukatika pindi onyesho linapoanza na kama hamjajiandaa kikamilfu na mapema huo ndiyo mwisho wa onyesho hilo kwakuwa majenereta yote makubwa ya mjini anakuwa ameshayakodi ili mkose pa kukodi,na majenereta yanayoweza kuendesha onyesho kubwa kama hilo ni machache mjini na yanajulikana ni ya kina nani.

Najua mwanzoni itakuwa ngumu kueleweka kwakuwa maswali mengi yatajitokeza kutokana na thread hii,Ila ningependa kufafanua zaidi kwamba mimi sikuwa mshiriki wa Kussaga bali nilikuwa muajiliwa niliye kifungoni kama wasanii wanavyowekwa kifungoni lakini imefikia wakati nimeshindwa...mimi fani yangu kubwa ni mwana burudani,nilijitoa Clouds FM miezi michache iliyopita na kujaribu kuendeleza fani yangu kimwenyewe mwenyewe lakini mambo yanayonikuta ni kwamba nimefungiwa njia zote na huyu jamaa na hakuna njia yoyote ya mimi kujiendesha binafsi kwakuwa nyanja nyingi zinazohusiana na Entertainments zimeshabanwa.Labda nibadilishe fani au nikubali kuendeshwa na huyu jamaa kama anavyotaka yeye.

wengi watafikiri ni udaku au majungu au Chuki lakini si hivyo kabisa.kuna mambo mengi sana ya kifisadi yanaendelea katika fani hii ambayo kwa mimi binafsi ninauhakika tunaweza kuyakemea kwa maslahi ya jamii. mi nafikiri tuwe wavumilivu na tuijadili hoja hii kiupole zaidi.

Suala la Saida karori kupotea ni kutokana na kutokuwa na maelewano baina ya meneja wa Saida na CLOUDS FM.

Kipaji cha Saida karori kiligunduliwa na Mr Mutta ambaye ni mmiliki wa studio za FM Studios. Baada ya kugundua kipaji hicho Mutta alimuingiza studio msanii huyo na kusaini nae mkataba kama meneja wake. lakini baada ya msanii huyo kuchanua ndiyo upande wa CLOUDS wakaanza kumtolea macho na kumtaka dada huyo abadili mawazo na kusaini upya na Clouds kitu ambacho muta alikipinga sana na bahati nzuri alikuwa na documents kuhusiana na msanii huyo. Clouds baada ya kushindwa kumchukua msanii huyo ikaamua kumuua kisanii ikiwa ni pamoja na kutopiga miziki yake na kuwabana sponsors kutodhamini onyesho lolote litakalomuhusu msanii huyo.Na mwisho wake hakuna aliyefaidika..Si msanii,si Meneja wake wala si CLOUDS FM. SAD

Mkuu sitaki kulipiza kisasi wala kushindana nae ila nimekaa nikajiuliza ni wangapi wameathirika na wataendelea kuathirika na mtandao huu mbaya?na je utaendelea mpaka lini?

Udhamini(sponsorships):
Kila kampuni kubwa kawaida inakuwaga na kikao kimoja kikubwa cha bajeti kwa mwaka.
Ndani ya bajeti hiyo kunakuwa na kitengo cha promotion,
Na ndani ya kitengo cha promotion kunakuwa na kipengele kingine cha udhamini wa shughuli za jamii.

Kinachofanyika basi,
Huyu bwana amewashikiria au anashirikiana na wakuu wa vitengo vya promotion katika makampuni mengi makubwa hapa nchini..mfano makampuni ya simu,vinywaji nk.

Pindi mkuu wa kitengo cha promotion anapotoka mwisho wa kikao cha bajeti mtu wa kwanza kumtafuta ni Bwana Kussaga.
anamtafuta kwanini?
Kwakuwa anataka apresent bajeti yake ya mwaka iliyopitishwa kwenye kikao hicho cha bajeti. Mara nyingi kwa kampuni kubwa za hapa nchini promotion bajet ya mwaka inakuwaka kati ya bilioni mbili hadi tatu kwa mwaka mzima.

Na akiisha ipeleka kwa Kussaga ,Asilimia 90 ya bajeti hiyo itadhamini matamasha ya CLOUDS na anaitengenezea bajeti hiyo matamasha ya mwaka mzima ambayo yatakuwa na udhamini huo.

Manufaa ya mkuu wa promotion kwenye bajeti hiyo ni 10% inaenda mfukoni mwake,mfano bajeti ya mwaka mzima ni bilioni mbili,jamaa wa promotion anauhakika wa 10% (200,000,000)kutoka kwa kussaga iwapoa ataouthorise malipo hayo.
Ndiyo maana unakuta maonyesho mengine baki yanayoandaliwa na makampuni mengine yanakosa udhamini kwa kuambiwa kwamba bajeti iko tight.

mfano mzuri ni Onyesho la boyz 2 men lilivyoenda kihasara kwa kukosa udhamini na badala yake hapohapo na katika wiki hiyo hiyo clouds waliform onyesho lingine lakina fat joe na Eve ambalo lilikuwa full sponsord ili kulifunika onyesho hilo na iwefundisho kwao.

Vitu kama hivi Vinasikitisha kwakweli na vinalenga manufaa ya watu fulani tu na si kwa jamii.

Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)

Imefikia wakati watu wanaogopa kuacha kazi kwa kuwa ukiamua kuacha kazi clouds basi umeacha na shughuli za sanaa au burudani.
na ukiacha kazi clouds basi wewe ni moja ya maadui wakubwa wa Kussaga kwakuwa anajua unajua mambo yote anayoyafanya na anajua unaweza kufanya kitu cha maana katika Entertainments na pia unaweza kuja kuwa mshindani wake mkubwa kibiashara siku za mbeleni.

Anachokiwanya anwasiliana na viongozi wa vitengo vya promotion vya makampuni makubwa kwa mantiki ya kwamba pindi utakapoiwakilisha event proposal yako kwa wadhamini kwa nia ya kuomba udhamini,ile proposal itatumwa na viongozi hao wa udhamini muda huo huo by fax na yeye baada ya kuisoma ndiyo anawainform wadhamini hao wakupe udhamini au la,kama ataipenda ideal yako ya event uliyoiandika kwenye proposal hiyo basi anawazuia wadhamini hao wasikupe udhamini na baada ya muda kidogo utasikia ideal ya onyesho lako lile lile ambalo lilishindwa kufanyika kwa kukosa udhamini linafanywa na CLOUDS likiwa na full udhamini, hapo sasa ndiyo utabaki mdomo wazi...hiyo ni baadhi tu ya mambo yanayoendelea kwenye nyanja ya udhamini.
kilichokushinda kuunganisha madai yako na kuweka hapa yote ni nini mpaka uulizwe?we kama umeamua kufichua uovu,fichua tu usisite hapa ni JF where we dare kuropoka live,nimekusaidia kuziunganisha,ingawa bado hujamaliza madai yako.
 
Anachosema hapa Afro siyo kitu kigeni katika masikio ila inapendeza zaidi kama yeye alikuwa huko jikoni. Thread ya Mr.2 na zinduka imeeleza sana issue za hawa jamaa.

mkuu, weka kila kitu wazi kabisa, ukiweza taja na majina ya wahusika, let JF be mahakama ya raia inayotoa adhabu za kisaikolojia!
he he nimeipenda hii,:Dndio nimemwambia aweke mambo yote hapa live sio vipandevipande,kisha wana JF watoe hukumu kwa mujibu wa vipande vya sheria za kisaikolojia tena leoleo kesi hapa huwa haipigwi kalenda.
 
Umalaya,
Kama nilyowahi kuyasoma kwenye mjadala wa MR 2 n ruge,kuna mdau mmoja alitoa hoja kuhusu bwana Ruge ya kwamba ili kumtoa msanii ni lazima alale nae ndiyo amtoe...hoja hiyo ni ukweli mtupu na si kwa wasanii tu bali mtu yeyote mwenye jinsia ya kike akija kuomba msaada wowote wa kimaendeleo ni lazima avue chupi.

Nikija katika suala la Bwana Kussaga,ni vile vile kama Ruge ila yeye kwa kiwango cha juu zaidi. yeye ni kwa wanawake wa wafanyakazi wake yani watangazaji,vitengo vya udhamini vinavyosimamiwa na wanawake,wanafunzi walomaliza vyuo vya uhandishi wa habari na kutaka kuja kufanya practical Clouds FM. Na kibaya zaidi,katika kila tamasha analofanya anatenga complimentaries 50 kwaajili ya kina dada ambao anauhusiano nao na anajua mwisho wa siku watampigia simu kuomba complimentary na ni vigumu kwa yeye kuwanyima kwakuwa anajua kinichoendelea.
...... Kussaga ni mume wa mtu huyu, je wewe uliyoandika haya una uhakika kwamba kweli anatenda? Je uliwahi kumuona live akifanya umalaya na hao wasanii?
Huwezi kujua labda mke wa Kussaga ni member humu JF, je mkewe akisoma hii tuhuma ya umalaya ndoa yao si inaweza kuwa matatani?
 
...... Kussaga ni mume wa mtu huyu, je wewe uliyoandika haya una uhakika kwamba kweli anatenda? Je uliwahi kumuona live akifanya umalaya na hao wasanii?
Huwezi kujua labda mke wa Kussaga ni member humu JF, je mkewe akisoma hii tuhuma ya umalaya ndoa yao si inaweza kuwa matatani?

Kama mambo ya kutunga ndoa yao itaimarika zaidi... lakini kama ni ya kweli itasambaratikia mbali......
 
...... Kussaga ni mume wa mtu huyu, je wewe uliyoandika haya una uhakika kwamba kweli anatenda? Je uliwahi kumuona live akifanya umalaya na hao wasanii?
Huwezi kujua labda mke wa Kussaga ni member humu JF, je mkewe akisoma hii tuhuma ya umalaya ndoa yao si inaweza kuwa matatani?

KWani wenye ndoa huwa hawafanyi nje? Mbona wengi wengi tu? Hatokuwa wa kwanza
 
KWani wenye ndoa huwa hawafanyi nje? Mbona wengi wengi tu? Hatokuwa wa kwanza

Ofcourse wanachapana tu pale ila vithibitisho ndo vinakuwa vigumu..inajulikana wazi kuwa kama ruge alikuwa na mpenziwe fina etc so na kibosile aka DOn atakuwa wa watu wake wa standard zake...sio kitu cha ajabu..
 
Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)

Imefikia wakati watu wanaogopa kuacha kazi kwa kuwa ukiamua kuacha kazi clouds basi umeacha na shughuli za sanaa au burudani.
na ukiacha kazi clouds basi wewe ni moja ya maadui wakubwa wa Kussaga kwakuwa anajua unajua mambo yote anayoyafanya na anajua unaweza kufanya kitu cha maana katika Entertainments na pia unaweza kuja kuwa mshindani wake mkubwa kibiashara siku za mbeleni.

Anachokiwanya anwasiliana na viongozi wa vitengo vya promotion vya makampuni makubwa kwa mantiki ya kwamba pindi utakapoiwakilisha event proposal yako kwa wadhamini kwa nia ya kuomba udhamini,ile proposal itatumwa na viongozi hao wa udhamini muda huo huo by fax na yeye baada ya kuisoma ndiyo anawainform wadhamini hao wakupe udhamini au la,kama ataipenda ideal yako ya event uliyoiandika kwenye proposal hiyo basi anawazuia wadhamini hao wasikupe udhamini na baada ya muda kidogo utasikia ideal ya onyesho lako lile lile ambalo lilishindwa kufanyika kwa kukosa udhamini linafanywa na CLOUDS likiwa na full udhamini, hapo sasa ndiyo utabaki mdomo wazi...hiyo ni baadhi tu ya mambo yanayoendelea kwenye nyanja ya udhamini.

Mambo ya Zinduka campaign ya Mr Sugu,lazima Mr Sugu aonyeshe usugu wake
 
Tusisahau huyu ni mwanafunzi mwaminifu wa Sir Chande with that secret thing of theirs.
 
Udhamini(sponsorships):
Kila kampuni kubwa kawaida inakuwaga na kikao kimoja kikubwa cha bajeti kwa mwaka.
Ndani ya bajeti hiyo kunakuwa na kitengo cha promotion,
Na ndani ya kitengo cha promotion kunakuwa na kipengele kingine cha udhamini wa shughuli za jamii.

Kinachofanyika basi,
Huyu bwana amewashikiria au anashirikiana na wakuu wa vitengo vya promotion katika makampuni mengi makubwa hapa nchini..mfano makampuni ya simu,vinywaji nk.

Pindi mkuu wa kitengo cha promotion anapotoka mwisho wa kikao cha bajeti mtu wa kwanza kumtafuta ni Bwana Kussaga.
anamtafuta kwanini?
Kwakuwa anataka apresent bajeti yake ya mwaka iliyopitishwa kwenye kikao hicho cha bajeti. Mara nyingi kwa kampuni kubwa za hapa nchini promotion bajet ya mwaka inakuwaka kati ya bilioni mbili hadi tatu kwa mwaka mzima.

Na akiisha ipeleka kwa Kussaga ,Asilimia 90 ya bajeti hiyo itadhamini matamasha ya CLOUDS na anaitengenezea bajeti hiyo matamasha ya mwaka mzima ambayo yatakuwa na udhamini huo.

Manufaa ya mkuu wa promotion kwenye bajeti hiyo ni 10% inaenda mfukoni mwake,mfano bajeti ya mwaka mzima ni bilioni mbili,jamaa wa promotion anauhakika wa 10% (200,000,000)kutoka kwa kussaga iwapoa ataouthorise malipo hayo.
Ndiyo maana unakuta maonyesho mengine baki yanayoandaliwa na makampuni mengine yanakosa udhamini kwa kuambiwa kwamba bajeti iko tight.

mfano mzuri ni Onyesho la boyz 2 men lilivyoenda kihasara kwa kukosa udhamini na badala yake hapohapo na katika wiki hiyo hiyo clouds waliform onyesho lingine lakina fat joe na Eve ambalo lilikuwa full sponsord ili kulifunika onyesho hilo na iwefundisho kwao.

Vitu kama hivi Vinasikitisha kwakweli na vinalenga manufaa ya watu fulani tu na si kwa jamii.
Hii imekaa kama ukweli ukweli vile. Lakini mi chichemi!
 
Huyu jamaa hatumuwezi maana kaisha mkamata JK , hakuna kufurukuta fungu la uchaguzi lote liko kwake maana radio yak itatumika ku hamasisha vijana kupiga kura,
 
Back
Top Bottom