Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Sikilizeni CloudsFM Kibonge kwenye kipindi cha jahazi ana ongelea sakata ili.
Kibonde haeleweki kabisa! Ikulu wamelijibu Tanzania Diama sasa namshangaa Kibonde anamtukana Sugu LoL!
Sikilizeni CloudsFM Kibonge kwenye kipindi cha jahazi ana ongelea sakata ili.
Naona anamshambulia sana Sugu bila kuelewa kwamba Ikulu hawakumjibu Sugu bali Tanzania Daima, Naanza kupata wasiwasi kwamba yawezekana Ikulu wameshirikiana na Clouds kutoa tamko la Ikulu
- Wapi amevunja sheria za jamhuri that should be our priority, udaku kama hii thread yes we should enjoy it maana ni nothing but entertainment, kila shuguli ina staili na miiko yake Joe sio politician, kama Afro amedhulumiwa na Joe basi awahi mahakamani so far knowing joe as I do, sijaona anything like himi kwenye hizi accusations, ni kawaida yetu wabongo kwamba mimi ni masikini kwa sababu wewe tajiri na ndio maana tupo hapa tulipo.
- Joe should never listen to this nonsense, I mean burudani at best! kila mwenye hela zaidi yetu ana matatizo lakini ukiulizwa amevunja sheria hamna ushahidi udaku tu at best! ya kzuima umeme ndio competitions hizo kama ni kweli ebo!
FMEs!
Niwasikia clouds hata powerbreakfast asubuhi agenda ilikuwa hiyohiyo!
Vipi mradi wako wa kazi majuu mh. sana FMES???Ulifanikiwa????
Si wanatetea kitu cha bosi wao-na hakuna nyimbo yake kupigwa.
Kwa vile radio ni yao wanaamua tu msanii flani hakuna kupiga nyimbo zake?
- Mkuu Joe sio mara moja ameamua kutopiga songs za wasanii wasio na heshima mbele ya jamii, na anapoamua hivyo husema wazi mbele ya public bila kuficha, eti hayo nayo ynamfanya awe fisadi kama Lowassa?