JK kaacha kishindo Dar?

JK kaacha kishindo Dar?

Hii njemba kama kweli imestaafishwa basi ni uamuzi mzuri maana ilikuwa inafanya matanuzi kwa pesa za walipa kodi kwa fujo sana. Hivi karibuni alifanya kufuru katika harusi ya binti yake.

kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu

source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi
 
Ama kweli katika marais wanaoendekeza urafiki mkwere amevuka kipimo. Yeye hajali jamii inamfikiriaje mtu anayemteua. Anachojali yeye ni urafiki wake na huyo mtu. Yaani maslahi mtu ndiyo yanayozingatiwa zaidi na ya nchi ni baadaye au yanaweza yasiwepo kabisa.
 
Wazalendo tufanye kazi! Threads ambazo zimejaa msamiati wa:
Inaaminika, inakisiwa, kuna tetesi, kutoka chanzo cha kuaminika, ilisikika na hata kichwa cha habari "....... kaacha kishindo" ni aina ya uandishi unaojengwa na misingi mikubwa miwili:

1. Kujadili mambo mepesi ya maisha ya watu binafsi
2. Kuibua mihimuko na hisia za watu (sensationalism)
 
Kweli kaacha kishindo!!
Image.jpg
 
Magogoni has proved over the past years that it is unable to execute decisions that are in the favor of national interest.

There is no KISHINDO, Magogoni is too predictable, so predictable that my friends in the media are well aware that the

so called BREAKING NEWS as long packed its bags and vacated the premises.

Dont get carried away by this thread!

Just a reminder, my post said it all jana see quotes.

Lets not ruin this forum, one of the key values of this forum is

"The home of great thinkers" but very few are living this value.

Come on people, lets keep that spirit.
 
Kishindo gani hicho ambacho ni embargoed? Bila shaka kinatokana na uvumi wa kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi
 
Kishindo gani hicho ambacho ni embargoed? Bila shaka kinatokana na uvumi wa kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi

....labda kishindo cha kushindwa kutatua matatizo yanayotukabili,,,,kashindwa kwa kishindo!
 
kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu

source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi
Mh!mkuu huyu Othman Rashid alikuwa ni nani na amefanya kosa gani ?
 
Kishindo gani hicho ambacho ni embargoed? Bila shaka kinatokana na uvumi wa kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi
Mkuu tupe vizuri hiyo ya kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi!!
 
Back
Top Bottom