Wavunja Katiba ni wengi.Mwiba, kwa uliyoandika hapo juu, umedhihirishia umma ya kuwa wewe ni sawa na gadafi.
kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu
source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi
Magogoni has proved over the past years that it is unable to execute decisions that are in the favor of national interest.
There is no KISHINDO, Magogoni is too predictable, so predictable that my friends in the media are well aware that the
so called BREAKING NEWS as long packed its bags and vacated the premises.
Dont get carried away by this thread!
Data found
Kishindo gani hicho ambacho ni embargoed? Bila shaka kinatokana na uvumi wa kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi
Asante dia ngoja nilale :decision:
Mh!mkuu huyu Othman Rashid alikuwa ni nani na amefanya kosa gani ?kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu
source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi
Mkuu tupe vizuri hiyo ya kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi!!Kishindo gani hicho ambacho ni embargoed? Bila shaka kinatokana na uvumi wa kuvunjika kwa ndoa yake na mafisadi
precisely!!Sema sasa ni kishindo gani.....hatukuelewi bora ulale!
Kweli kaacha kishindo!!
View attachment 24228