JK kaacha kishindo Dar?

JK kaacha kishindo Dar?

Wazalendo tufanye kazi! Threads ambazo zimejaa msamiati wa:
Inaaminika, inakisiwa, kuna tetesi, kutoka chanzo cha kuaminika, ilisikika na hata kichwa cha habari "....... kaacha kishindo" ni aina ya uandishi unaojengwa na misingi mikubwa miwili:

1. Kujadili mambo mepesi ya maisha ya watu binafsi
2. Kuibua mihimuko na hisia za watu (sensationalism)

Kazi gani hizo mkuu!mimi nimishatimiza wajibu wangu,niatatimiza wajibu wangu pale nitakapohitajika!nachukia ufisadi,pia nina wajibu wa kulinda rasilimali za nchi yangu!napenda kufanyia majungu kazi!kama wewe unaona tunapoteza muda hapa basi ondoka kimya kimya kaendelee na hizo kazi zako!!
 
Hii njemba kama kweli imestaafishwa basi ni uamuzi mzuri maana ilikuwa inafanya matanuzi kwa pesa za walipa kodi kwa fujo sana. Hivi karibuni alifanya kufuru katika harusi ya binti yake.

Alikuwa ana wadhifa gani serikalini?
 
Alikuwa ana wadhifa gani serikalini?
Mkurugenzi wa idara ya Usalama wa Taifa kama walivyo akina Mwamnyange na JWTZ na Mwema na Police.
 
kishindo ni kuwa:
-othman rashid amestaafishwa kwa manufaa ya umma
-lawrance masha ateuliwa kuwa balozi nchini Switzerland (JK analipa fadhila za IMMA kumwajiri riz1) - balozi wa sasa ana staafu
-richard kasesera awa balozi nchini msumbiji (JK analipa fadhila za richard kuwa mpiga debe hodari) - balozi wa sasa ana staafu
-joseph kahama awa balozi nchini china (JK analipa fadhila za sinclair kuwasaidia na membe) - balozi wa sasa ana staafu

source: chanzo cha kuaminika ofisi ya Katibu Kiongozi

Moja na Moja?
Basi unganisheni na hii nafikiri tutaelewa mchezo unavyo kwenda: bofy link hiyo https://www.jamiiforums.com/tanzani...-tiss-are-intefering-with-ccms-primaries.html
 
Nilikuwa najiuliza muda mrefu hicho kishindo ambacho hakina sauti waka mlio alichoacha JK ni kipi.
Kumbe ni hizi kelele za wanaccm na wanaccm b,kuhusu kupinga kwa nguvu zote maandamano ya CHADEMA ndiyo maagizo walioachiwa wayafanye.
Kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

NAAMINI IPO SIKU TUTAWAONDOA WAKOLONI WAZAWA WEUSI
 
Nilikuwa najiuliza muda mrefu hicho kishindo ambacho hakina sauti wala mlio alichoacha JK ni kipi.
Kumbe ni hizi kelele za wanaccm na wanaccm b,kuhusu kupinga kwa nguvu zote maandamano ya CHADEMA ndiyo maagizo walioachiwa wayafanye maana toka ameenda huko ni kukiandama CDM tu
Kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

NAAMINI IPO SIKU TUTAWAONDOA WAKOLONI WAZAWA WEUSI
 
.......yeah,,,,,,lakini ni kelele za chura,,,,,hazimzuii Tembo kunywa maji!!!
 
chadema ndicho chama tawala ndio maana vyama vingine vyote vinawapinga
 
...mwambie JK asisumbuke na vyama vya msimu, vitapotea vyenyewe msimu wake ukipita
 
chadema ndicho chama tawala ndio maana vyama vingine vyote vinawapinga



Ingawa jina lako ni neno baya kikwetu,lakini nimekugongea thenksi! Hakika CHADEMA ndo chama tawala haswa,kwani CUF,NCCR-Manyamuzi,CCM,TLP na UDP wote wanakipinga tena kwa kujibu hoja zake!

Amandlah.
 
Sijui CHADEMA wana nini hasa hadi wanaogopwa namna hiyo..
 
EE Molah uwajalie viongozi wa CDM waendelee kuiongoza nchi hii bila serikali kwa uadilifu. Tunazifunga nguvu za mafisadi kwa jiiiiina la Yesu wasijaribu kabisa kuwarubuni viongozi wetu.
 
Week iliyopita Mwanakijiji na Halisi walikuja na tetesi kuwa Jakaya kaacha kishindo kikubwa. Mpaka sasa hivi mimi sijawai kuona hicho kishindo


Je Mauwaji ya Dr Slaa na Dr mwakyembe ndo kilikuwa kishindo?
 
Back
Top Bottom