labda ni Tanzania tu ndio credit card-mimi huku natumia Debit Card kwa ebay purchases mwaka wa sita sasa- Ebay ingetegemea credit card isingeweza fikia success iliyo nayojamani tofautisheni kat ya debit card na credit card, kuwa na card yenye nembo ya mastercard ama visa card haimaniish ni kuwa unaweza kufanya online transaction. kuna card ambazo zimekuwa linked na mastercard ama visa card lakini huwez kufanya transaction online kwani zile ni debit card na sio credit card. debit unaweza kutumi kwenye ATM yeyote inayokubaliana na mtandao husika (mastercard ama VISA) bila kujali bank yako ama kulipia vitu kwenye merchant devices kama zile POS za kwenye supermarket . ila online transaction huwez fanya , credit card ndio unaweza fanya transaction online
Sasa Mimi nimeshaenda CRDB na Nimejaza Fomu zao na Nimetumiwa Msg kuwa Card Yangu Imeshasajili (Ipo active for Online shopping) sasa Kuna Link wametumia Ya Kuisajili na VERIFIED BY VISAjamani tofautisheni kat ya debit card na credit card, kuwa na card yenye nembo ya mastercard ama visa card haimaniish ni kuwa unaweza kufanya online transaction. kuna card ambazo zimekuwa linked na mastercard ama visa card lakini huwez kufanya transaction online kwani zile ni debit card na sio credit card. debit unaweza kutumi kwenye ATM yeyote inayokubaliana na mtandao husika (mastercard ama VISA) bila kujali bank yako ama kulipia vitu kwenye merchant devices kama zile POS za kwenye supermarket . ila online transaction huwez fanya , credit card ndio unaweza fanya transaction online
Sasa Mimi nimeshaenda CRDB na Nimejaza Fomu zao na Nimetumiwa Msg kuwa Card Yangu Imeshasajili (Ipo active for Online shopping) sasa Kuna Link wametumia Ya Kuisajili na VERIFIED BY VISA
JE HICHO KITU NI LAZIMA au Niende Pay pal Moja kwa Moja
Mimi sunawahi tumia eBay, natumia Alibaba tu. Ukiwa akibaba kila supplier wana nembo ZA trade assurance na limit ya pesa alibaba anazikugurantee kufanya nae kazi., pia ni vema udeal na supplier ambaye ni gold member, ikiwezekana supplier akutumie video clip ya office yake, na ukitaka bei nzuri deal na supplier ambaye ni manufucturer, na wanajionesha pale.Babaanyi ikupendeze elezea kidogo na Amazon na nyinginezo km ebay please. Na mimi nataka kuzitumia moja hizo site ila i want to be more careful to minimize hasara zisizo za lazima. Thanks in advance