mselm9
Member
- Dec 19, 2013
- 32
- 7
Kaka naomba na mm muongozo nahitaji kuagiza kitu kupitia ali baba my namba ni 0712262322Mimi natumia alibaba na naagiza kila mwezi mizigo ka meli au ndege Inategemea na aina ya mizigo. SI KWELI KAMA kutuma western ni tatizo, muda wote mpaka sasa natumia western union na pia wire transfer. Kwa zaidi ya 80% suppliers wa Alibaba ni halisi hakuna Utapeli hata kidogo. Kuna, ni wewe tu how you negotiate nao na aina ya bidhaa utakazo. Their trustworthy kabisa, vitu muhimu unaangalia kwa supplier pale alibaba ni kuwa ana nembo ya trade assurance, pili kama ni gold suppluer wa miaka kadhaa kuanzia mmoja nk. Endelea kufanya biashara.... More info itanicheki kwa wakati wako..