JF Arusha; Beyond keyboards......!!!!

JF Arusha; Beyond keyboards......!!!!

Nimalizie kwa kuwashukuru kwa utaratibu niliouona jana tulipokuwa pamoja, hizi "couples" nimezipenda.

1.Mchungaji Saharavoice & Loner; newly upcoming couple, jana mlitisha, mko juu sana!!
2.Pakajimmy & Preta; Mkiendelea hivi nadhani Kericho kwisha habari yake!!
3.Filipo & Blackwoman; Equation ilikuwa imebalance vizuri sana, mlifunika!!
4.Easymutant & Mysoul; Kwakweli sina la kusema waliokuwepo walijionea wenyewe!!
4.Kimey & Wiselady; The best couple of the day!! Heshima kwako Kimey bila shaka "long distance" is no longer there!! Mchungaji saharavoice anatakiwa kuendelea kufanya maombezi na kutoa ushauri ili hatimaye mtumishi aendelee na huduma bila vikwazo.

haya yameanza lini?
 
Mkuu Mwita Maranya hata mimi nilifurahi sana! We The Finest Loner ushamkosa hivyoo!
 
Mwita siku zote umekuwa baraka kwetu!karibu tena na tena,uwepo wako ulisababisha sahara akatunukiwa ufilosofa na anonymus...barikiwa
 
Mkuu Mwita Maranya hata mimi nilifurahi sana! We The Finest Loner ushamkosa hivyoo!

Asee hommie mi jografia inanitatiza.....kwamba usalule ipo kericho?
 
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kukopa maneno ya mamaa wa Kericho; JF is beyond keyboards!!!!!!!!!!!

Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru wanaJF wote wa Arusha na wengine toka mikoa mbalimbali tuliokutana jana na juzi kwa mshikamano na ushirikiano ambao mmekuwa nao, tangu nilipopata nafasi ya kukutana nanyi december 2010 hadi hivi sasa mmepiga hatua kubwa sana.

Jambo kubwa na la msingi sana ni namna mlivyoweza kuji-organise na kujiwekea utaratibu mzuri sana kuanzia kuwa na viongozi na katiba inayowaongoza ili mfikie malengo mahsusi mnayokusudia kutekeleza.

Kwa namna ya pekee niwashukuru sana kwa ukarimu wenu na upendo kwa wanajf wote wanaopata nafasi ya kufika Arusha na kuonana nanyi, nami nikiwa ni shuhuda wa ukarimu wenu na upendo wenu, ninasema heshima sana kwenu.

Nimalizie kwa kuwashukuru kwa utaratibu niliouona jana tulipokuwa pamoja, hizi "couples" nimezipenda.

1.Mchungaji Saharavoice & Loner; newly upcoming couple, jana mlitisha, mko juu sana!!
2.Pakajimmy & Preta; Mkiendelea hivi nadhani Kericho kwisha habari yake!!
3.Filipo & Blackwoman; Equation ilikuwa imebalance vizuri sana, mlifunika!!
4.Easymutant & Mysoul; Kwakweli sina la kusema waliokuwepo walijionea wenyewe!!
4.Kimey & Wiselady; The best couple of the day!! Heshima kwako Kimey bila shaka "long distance" is no longer there!! Mchungaji saharavoice anatakiwa kuendelea kufanya maombezi na kutoa ushauri ili hatimaye mtumishi aendelee na huduma bila vikwazo.

Mwisho kabisa niwashukuru kamati ya maadili;

1. Vince-mwenyekiti wa kamati
2.Crashwise-Afisa habari wa kamati
3.GY-Mwekahazina wa kamati

PENDEKEZO;
Napendekeza mabadiliko ya katiba ili kuwepo na nafasi moja ya mwanachama wa heshima, na bila shaka Mwita Maranya atatunukiwa tuzo hiyo. Babu Asprin umechelewa hata kama unajiandaa kwenda Arusha, njia zote zimeshakabwa mpira hauwezi kupita labda ujaribu "long balls" ingawa kimo chako hakiruhusu mipira ya juu!!

Nawasilisha.
Kiongozi wetu Mwita,
-aka mgeni rasmi

Amani iwe kwako!
Tunafurahi sana kuwa unatujali sana kila ukija!
Lakini zaidi kuna kitu unatufunza kila uwapo na sisi, kuwa katika urafiki na maelewano hakuna lisilowezekana!
Mkuu una mchango wako mkubwa katika mambo mengi tunayojivunia kwa sasa hapa A-Town!

Be the same man, regardless of time changes, karibu sana!
 
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kukopa maneno ya mamaa wa Kericho; JF is beyond keyboards!!!!!!!!!!!

Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru wanaJF wote wa Arusha na wengine toka mikoa mbalimbali tuliokutana jana na juzi kwa mshikamano na ushirikiano ambao mmekuwa nao, tangu nilipopata nafasi ya kukutana nanyi december 2010 hadi hivi sasa mmepiga hatua kubwa sana.

Jambo kubwa na la msingi sana ni namna mlivyoweza kuji-organise na kujiwekea utaratibu mzuri sana kuanzia kuwa na viongozi na katiba inayowaongoza ili mfikie malengo mahsusi mnayokusudia kutekeleza.

Kwa namna ya pekee niwashukuru sana kwa ukarimu wenu na upendo kwa wanajf wote wanaopata nafasi ya kufika Arusha na kuonana nanyi, nami nikiwa ni shuhuda wa ukarimu wenu na upendo wenu, ninasema heshima sana kwenu.

Nimalizie kwa kuwashukuru kwa utaratibu niliouona jana tulipokuwa pamoja, hizi "couples" nimezipenda.

1.Mchungaji Saharavoice & Loner; newly upcoming couple, jana mlitisha, mko juu sana!!
2.Pakajimmy & Preta; Mkiendelea hivi nadhani Kericho kwisha habari yake!!
3.Filipo & Blackwoman; Equation ilikuwa imebalance vizuri sana, mlifunika!!
4.Easymutant & Mysoul; Kwakweli sina la kusema waliokuwepo walijionea wenyewe!!
4.Kimey & Wiselady; The best couple of the day!! Heshima kwako Kimey bila shaka "long distance" is no longer there!! Mchungaji saharavoice anatakiwa kuendelea kufanya maombezi na kutoa ushauri ili hatimaye mtumishi aendelee na huduma bila vikwazo.

Mwisho kabisa niwashukuru kamati ya maadili;

1. Vince-mwenyekiti wa kamati
2.Crashwise-Afisa habari wa kamati
3.GY-Mwekahazina wa kamati

PENDEKEZO;
Napendekeza mabadiliko ya katiba ili kuwepo na nafasi moja ya mwanachama wa heshima, na bila shaka Mwita Maranya atatunukiwa tuzo hiyo. Babu Asprin umechelewa hata kama unajiandaa kwenda Arusha, njia zote zimeshakabwa mpira hauwezi kupita labda ujaribu "long balls" ingawa kimo chako hakiruhusu mipira ya juu!!

Nawasilisha.
Mkuu Mwita hapo nimepitwa, tafadhari Paka Jim nipe hayo maudhui, nilikuwa sipo sasa nimerudi mnipe feed back tafadhari. Mbarikiwe!!!!!!!!!!
 
Mkuu Mwita hapo nimepitwa, tafadhari Paka Jim nipe hayo maudhui, nilikuwa sipo sasa nimerudi mnipe feed back tafadhari. Mbarikiwe!!!!!!!!!!
Mkubwa,
Tulijaribu kukusaka lakini naamini kutokana na shida ya umeme a.k.a JAIRO&NGELEJA Co, ulikwama kuwa hewani!
Kwa shida hiyohiyo ya umeme kuna watu tulilazimika kuwafuata kwa bodaboda makwao ili kuwafahamisha juu ya tukio!
Usiogope mkubwa wetu nakupa details kwa PM , hii ni kutokana na unyeti wake!
 
Back
Top Bottom