JF Arusha; Beyond keyboards......!!!!

JF Arusha; Beyond keyboards......!!!!

Safi sana wakuu........nadhani mwita unajua kilichonikimbiza mapema......kina Kimei hii sharing is caring wanaiandika kwenye kibodi tu ukiwakuta anga zao balaa!

Kabisa mkuu nafahamu kwanini ulikimbia mapema,

sasa hommie kimey nwe unamtilia mashaka??

Itabidi ajieleze vizuri.
 
Mchungaji sasa unaonekana mbabaishaji, wewe si tulikukabidhi loner na kukutaka umfikishe chumbani kwake??

Au kazi ya utumishi inaanza kukushinda?
Nimefurahi kufahamu kuwa Loner ni jinsia ys she. Nimefurahi sana. Sana toka moyoni....Nikipata nauli natia timu Arusha!
 
Nimefurahi kufahamu kuwa Loner ni jinsia ys she. Nimefurahi sana. Sana toka moyoni....Nikipata nauli natia timu Arusha!

Kwani kabla ya kufahamu ulikuwa umenuna?? kisa??

Babu unazeeka vibaya wajukuu watakukimbia hivi punde!!
 
Achana na kwa mromboo

Mambo iko lenana siku hizi!!
Aisee kuna baa moja ilikuwa inaitwa Picnic....... bado iko hewani? Mara ya mwisho nlipiga trupa ya kufa mtu hapo na beer za kutosha nikajikuta nachukua room mchana kweupee!
 
Kwani kabla ya kufahamu ulikuwa umenuna?? kisa??

Babu unazeeka vibaya wajukuu watakukimbia hivi punde!!

"The most important thing a Babu can do for his Wajukuuz is to love them"....... ODM
 
Aisee kuna baa moja ilikuwa inaitwa Picnic....... bado iko hewani? Mara ya mwisho nlipiga trupa ya kufa mtu hapo na beer za kutosha nikajikuta nachukua room mchana kweupee!

Picnic ipo ipo tu siku hizi, ingawa matrupa yapo kiaina.
 
Hivi ulifika salama? maana ilikuwa usiku sana.
halafu nieleze gear niliyokutia.

NIlifika salama lakini Sahara voice ushauri ulio kuwa unawapa kondoo wako umenitisha sana, na ndiyo maana nika konclude wewe unagia nyingi..
 
NIlifika salama lakini Sahara voice ushauri ulio kuwa unawapa kondoo wako umenitisha sana, na ndiyo maana nika konclude wewe unagia nyingi..

Loner usiwe na wasiwasi na sahara,

ushauri anaoutoa ni uzoefu wake na ndio umemfikisha kwenye jubilee ya miaka lukukii katika ndoa!!

ungekuwa ushauri mbaya sasahivi hangekuwa na jeuri hiyo hata kidogo.
 
Loner usiwe na wasiwasi na sahara,

ushauri anaoutoa ni uzoefu wake na ndio umemfikisha kwenye jubilee ya miaka lukukii katika ndoa!!

ungekuwa ushauri mbaya sasahivi hangekuwa na jeuri hiyo hata kidogo.
Hiyo Lukuki yaweza kuwa miwili?
 
HTML:
NIlifika salama lakini Sahara voice ushauri ulio kuwa unawapa kondoo wako umenitisha sana, na ndiyo maana nika konclude wewe unagia nyingi..

Yaa unahitaji kuwa namimi karibu sana kabla hujampata huyo unayemtarajia ili ukomae.
 
Back
Top Bottom