Mkubwa,
Toa maelezo ya kutosha bana!
Mbona unaacha homework zaidi?
Atakae nionea MySoul mwambie nimemmiss!
Wewe nilikusifia bure kuwa una kumbukumbu nzuri, kumbe ile nanihii uliyokuwa umeilaza mezani ilikubangua kichwa sana!Nenda juu kwenye bandiko kifungu cha pil inasomeka hivi
(2.Pakajimmy & Preta; Mkiendelea hivi nadhani Kericho kwisha habari yake!!)
Well well well.........copy that!Karibu sana Arusha, na hii baridi inayoko lazina utafute attachement yaku couple nayo.
hehehee.... mdogo mdogo hommie!Hommie ODM hii style ya misemo ndo stratergy mpya?
neWewe nilikusifia bure kuwa una kumbukumbu nzuri, kumbe ile nanihii uliyokuwa umeilaza mezani ilikubangua kichwa sana!
Hivi umesahau kuwa huyo nanihiino alisema kuwa yeye ni shemegi yangu, na atapenda sana tukiitana hivyo?
Pole ya? Samaki au?karibu sana Geneva of Africa.......mie binafsi nilifurahi kikundi kilitimia pole zake babu ODM
Aisee! Inaumisa sana hiyo.......Naumisa moyo wangu!Pole babu nilikuwa naye busy mahali fulani kwa mambo ya faragha na ndiyo maaana hatukutokea na hii ni baada ya kusalitiwa na wiselady
Mkuu senkyu kwa taarifa.... jamani nipokeeni stendi....Daah ..., ebana mkuu, ile Bar inaitwa "The Picnc" ni noma mazee .., ipo ipo ipo!! In fact kama hujawahi kuifika tena miaka kama mbili hivi iliyopita waweza uipotee hivi sasa ukiingia uko ndani, na halafu hizo totoz sasa ni za ukweli kali kali za kufa mutu, waweza unalize mshahara ati ndani ya masaa tu!
Babu is fo zem jukuuz.... ol ofu zem......babu naona ungemaliza wote sasa
C.R.A.PNamtafuta Loner.
Hommie.... ambia hiyo crap hiyo yuziful statementMkuu Mwita Maranya hata mimi nilifurahi sana! We The Finest Loner ushamkosa hivyoo!
Asee hommie mi jografia inanitatiza.....kwamba usalule ipo kericho?
Mwandisi ntakutafuta leo jioni tuufuate mwanga! Si ndio eh?mqasawa kabisa......Usalule ndio Kericho.......halafu ni kwa nini sasa ikawa vile?
Haina Majotrooo hommiehehehee.... mdogo mdogo hommie!
Asee!Nina hamu ya ubwabwa wa arobaini! Fanya fasta.Nimeamua kujinyonga rasmi..........
Wewe ni mkareee!Haina Majotrooo hommie
Mwandisi ntakutafuta leo jioni tuufuate mwanga! Si ndio eh?
Asee!Nina hamu ya ubwabwa wa arobaini! Fanya fasta.