Shipilingitya
Member
- Jan 7, 2021
- 21
- 19
Karibuni tena wazalendo wa Mungu sisi Dada na Kaka zenu tumeshazoea tumerudishwa toka tarehe 30/12/2020 najua machungu ya kurudi nyumbani bila focus yoyote Ila Maisha sio Jeshini tu pambaneni Mana OP yenu imekuwa na misukosuko sana mlitakiwa muingie toma mwezi wa 12 mkapigwa aziwea(mkastopishwa) mpaka mwezi wa kwanza tarehe 5 nashukuru hamjatukuta OP Merelani mngeumia zaidi kwa ile situation yetu ya kurudi nyumbani, Kwahyo msihuzunike sana huwenda mungu hajawapangia huko au huenda mkaenda mkapoteza muda tu Kama sisi tulivyopoteza so msihuzunike sana mwenyezi mungu anamakusudi yake, karibuni sana wadogo zetu najua hamna ubaya wowote hata mafunzo yenyewe mlikuwa hamjaanza na hamkuwa na muda sana humo vikosini naamini mnaporudi uraiani mtaendelea mlipoishia tu na mtakuwa mama zamani tu. Mwenyezi mungu awatie nguvu