kalemauji
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 1,440
- 1,397
haya kiongozi asante kwa kuniweka sawa JF ni darasa.Umeshawahi kubahatika kuuona mtaala wa jkt?
Hakuna mahali wameandika wanafunzi wapya ni uzalendo.
haya kiongozi asante kwa kuniweka sawa JF ni darasa.Umeshawahi kubahatika kuuona mtaala wa jkt?
Hakuna mahali wameandika wanafunzi wapya ni uzalendo.
We ndo mwenye IQ ndogo na pengine huna uelewa na masuala yahusuyo jeshi na pengine kiswahili kinakusumbua kwa sababu unapomwambia mwenzako kwamba tumwamini wewe au afande unamaanisha kwamba mabena aliitaja sababu ya kusitisha mafunzo hayo kwamba ni pesa wakati yeye kasema ni sababu za ndani,nikwambie tu hamna ambaye hajafikiria hyo sababu ya pesa na huwezi kuisema direct ikiwa wewe sio msemaji na pia ni assumption tu ila wewe mwenye IQ kubwa na mwenye kuiga uandishi wa (gentamycine)ikiwa hata huelekei uandishi wake,unaongea as if imekuwa public kwamba sababu ni pesa poor you,karibu kwa povu lingineUkiwa na IQ fupi na iliyojaa Ujuha ( Upumbavu ) kama yako Kamwe huwezi Kuligundua hilo ila kwa Waliobarikiwa Akili wameshaligundua mapema.
Na akianza mafunzo anaitwajeUtaratibu wa majeshi yote duniani. New intake haiitwi uzalendo. Inaitwa recruit. Uzalendo no slogan tunayoitumia Jkt kuwa name new recruit. Ila kitaalam na kimtaala. Ni recruit.
Walikuwa raia wa kawaida,kwa sasa wana mafunzo na hawana cha kuwaingizia kipato! Huoni kuna hatari hapo? Chukulia mfano uhakiki ungefanyika kwenye vyombo vya usalama na hao watu wangerudishwa mtaani,hali ingekuwaje? Nadhani umepata conceptMbona hapo awali mlikuwa nao huko huko mtaani na hawakuwakaba?
Jeshi linatakiwa lijilishe mia kwa mia.
Usimamizi umefeli mahali.
Mnaturudishia huku mtaani waje kutukaba ? Kaeni nao huko huko.
Kuna watu hawajaelewa mahali mkuu. Hawa vijana ni OP Uchimi wa Kati ambao ndio walikuwa wanakusanywa katika vikosi mbalimbali mwezi huu, so hawajui hata uzalendo wenyewe ukoje na wengine hata milango mikuu ya kuingilia vikosini hawaijui na wengine bado wako majumbani.Hao ni wale walokua wanaenda kujifunza wanarudi bado raia hawajakula kozi
Hongera kwa kuwaelewesha mkuuWakuu naona hamjaelewa habari
Kuna kundi la vijana lilitakiwa kuripoti katika makambi mpaka tar 15 January kama OP mpya kupata mafunzo ya kiseshi hilo bogi ndo limepigwa azwea warejee makwao na walokua hawajaripoti wasiendee
Wale askari waliofuzu mafunzo hayo yani OP Makao makuu bado wataendelea kuhudumu katika taifa katika makambi yao husika
Mkuu sijakuelewa kabisa ebu fafanua kidgChuma Kikuu na Cheusi kiliwapitia Wote kwa nyakati tofauti ili watengeneze Mazingira ya Kufanikiwa huko na sasa imekula Kwao. Kazi ipo hapa!!!
Kitengo.Wakuu naona hamjaelewa habari
Kuna kundi la vijana lilitakiwa kuripoti katika makambi mpaka tar 15 January kama OP mpya kupata mafunzo ya kiseshi hilo bogi ndo limepigwa azwea warejee makwao na walokua hawajaripoti wasiendee
Wale askari waliofuzu mafunzo hayo yani OP Makao makuu bado wataendelea kuhudumu katika taifa katika makambi yao husika
Mkuu nakuelewa sana, sababu si pesa hapa! Kuna kitu. Serikali haiwezi kushindwa kumudu JKT.We ndo mwenye IQ ndogo na pengine huna uelewa na masuala yahusuyo jeshi na pengine kiswahili kinakusumbua kwa sababu unapomwambia mwenzako kwamba tumwamini wewe au afande unamaanisha kwamba mabena aliitaja sababu ya kusitisha mafunzo hayo kwamba ni pesa wakati yeye kasema ni sababu za ndani,nikwambie tu hamna ambaye hajafikiria hyo sababu ya pesa na huwezi kuisema direct ikiwa wewe sio msemaji na pia ni assumption tu ila wewe mwenye IQ kubwa na mwenye kuiga uandishi wa (gentamycine)ikiwa hata huelekei uandishi wake,unaongea as if imekuwa public kwamba sababu ni pesa poor you,karibu kwa povu lingine
Unauliza Gongo Yombo Vituka?Tumefulia?
Bolo limehusika kote kote.Mkuu sijakuelewa kabisa ebu fafanua kidg
Shona tuliaTunajua hawajaanza mafunzo ila kuna kundi lilirudi nyumbani tarehe 30/12/2020 Likiwa nimemaliza mkataba nalo mnatuwmbiaje???