myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 148,791
- 659,940
Wewe ulikuwa huna kitu kabla na baada ya Magufuli.Siwezi kumsifia mtu aliyefanya niishi kama shetani kisa alipunguza makali ya mgao wa umeme, yani nifilisike biashara zangu na vidola vyangu vya trading vichukuliwe halafu nishangilie kuna umeme, aende tu kwakweli.
Acha uongo, waliyookotwa kwenye viroba ilikuwa wakati wa KikweteHata angefanya kikubwa kiasi gani sio kitu mbele ya amani na usalama wa raia! Watu wameokotwa kwenye viroba, wengine mpaka leo hawajulikani walipo, kina Lissu wamepona kwa kudra za Allah! Nchi ilijaa hofu hofu hofu kwa ajili ya mtu mmoja! Hapana huyu mzee apumzike anapostahili!
We ota tu mkuu,Ila angeota Lema,kungetokea taharuki kisiwani.nimemuota mwamba amefufuka
Pia alifuta ujambazi na hili hamlikumbuki?Ukweli mchungu, nilikuwa mkosoaji mkubwa wa baadhi ya sera za Magufuli lakini kuna mengi aliyafanya. Nami kama binadamu siwezi kusema mabaya yake kwa sasa bali mema aliyotutendea. Miaka ya 2015 kurudi nyuma ulikuwa unaingia hapo k/koo ni kelele za majenereta tu kisa mgao wa umeme. Lakini kwa miaka 6 tu ya utawala wake yote tulisahau. Watanzania tutapigwa pigo kubwa sana kama tusipoona mazuri haya.
We upo tanzania kweli? Yaani watu waliookotwa ktk viroba ni enzi za kikwete? Punguza mahaba kwa jiweAcha uongo, waliyookotwa kwenye viroba ilikuwa wakati wa Kikwete
enzi za utawala wake kulikua na nidhamu ya uoga full stopNi kweli hata nidhamu utumishi wa Umma iliimarika kidogo.
Kwani aliyenyongwa bado anauwezo wa kujitambuawanasiasa wote waendelee kucheza na akili za wanyonge lakini waelewe vizuri kuwa hakuna nguvu ya kuutenganisha utu na upendo wa Magufuli na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Wew ni mnyonge mkuu?Hakika hakuna Rais aliyegusa maisha ya Watanzania wengi kama Magufuli.
Magufuli: Rais pekee aliyewashinda mabeberu.
Hakika hakuna Rais aliyegusa maisha ya Watanzania wengi kama Magufuli.