Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Nimesoma huu uzi wote bila kujali ni usiku wa manane. Kwenye kila hali iwe Furaha au huzuni yupo Mungu anayetuona na anayetujibu. Hata usiku uwe mzito kiasi gani kumbuka lazima kutapambazuka tu. Imarisha imani kwa Mungu wa Ibrahim uone atakavyokughasi kwa mibaraka tele hadi wanaokuzunguka wabaki na kigugumizi.
Hakuna situation isiyo na mwisho yote tuyapitiayo ni ya muda.
Kila mtu kwa wakati wake bila kujali ametokea familia gani lazima atakuwa amepitia magumu kwa namna moja au nyingine. Wengine hadi sasa wanapitia magumu. Suluhu ya kudumu ya matatizo haya sio mganga bali kumlilia Mungu maana ana suluhu za kudumu za matatizo yetu. Onjeni muone ya kuwa Bwana yu mwema. Ukimuonja hutatetereka kamwe na hakutakuwa na jaribu litakalokukatisha tamaa kwa maana mtetezi (Mungu) wako yuko hai na muda sio mrefu atasimama kufanya intervention.
Hakuna situation isiyo na mwisho yote tuyapitiayo ni ya muda.
Kila mtu kwa wakati wake bila kujali ametokea familia gani lazima atakuwa amepitia magumu kwa namna moja au nyingine. Wengine hadi sasa wanapitia magumu. Suluhu ya kudumu ya matatizo haya sio mganga bali kumlilia Mungu maana ana suluhu za kudumu za matatizo yetu. Onjeni muone ya kuwa Bwana yu mwema. Ukimuonja hutatetereka kamwe na hakutakuwa na jaribu litakalokukatisha tamaa kwa maana mtetezi (Mungu) wako yuko hai na muda sio mrefu atasimama kufanya intervention.