Sio mbaya kushare na wanajamii. Niliishi msamvu stand bila kuwa na mchakato wowote, siku nne sijala zaidi ya kunywa maji tu, siku moja nimeamka toka kwenye kibanda tulicho kuwa tunalala, nikapata dili la kwenda kupakia mifuko ya cement kwa Omar Awadhi na njaa yangu mida ya saa nne asubuh, mara Yunday ya polisi hiyo, nikakamatwa, eti nashirikiana na majambazi.. Nikawekwa kwenye buti la Yunday mpaka saa tisa mchana, polisi wamenisahau..Nikiwa kwenye buti mara Pumnzi inakata, nahisi kama kuna kitu kinaanza kuuacha mwili.. Machozi yakanitoka, kimoyo moyo nikasema leo nakufa bila ndugu zangu kujua, hakika niliumia sana, Gafla nikasema hapana siwezi kufa bila kuomba Mungu. Nikaomba kimoyo moyo, Ehee Mungu wangu mimi bado kijana mdogo sana naomba unitoe katika haya mateso yanayoweza kutoa roho yangu.. Mara gafla nasikia brek., wale polisi wamekumbuka kuwa kwenye buti la gari kuna mtu, wakanitoa na kwenda kuninunulia chakula baada ya kuwaeleza kwanini nipo katika maisha yale.. Walipo ninunulia chakula na kunipa elfu 2000. Baada ya kula nikampa story yule mama lishe jinsi ilivyo kuwa, akanionea huruma akanichukua mpaka kwake Chamwino, kapanga chumba kimoja, ikawa hamna jinsi nikawa ndio mume wake.. Mama mtu mzima aliyetumia mkorogo uliyo dunda kwenye ngozi yake mimi ndio mume wake, nashukuru alinipenda na kunijari sana, Ila Mungu muache aitwe Mungu, maana nilikuwa namgegeda bila condom lakini bahati hakuwa na malazi yoyote..
Siku zote kuna mambo ambayo kwa akili zako huwezi hivyo ni kuyakabidhisha kwa Muumba wetu.