Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,743
Je ni kweli haya maisha hayako fair au mtiririko wa magumu na changamoto tunazopitia ni matokeo ya maamuzi yetu. Haya maisha yana macho? kuangalia nani wamkumtembeza na nani wa kumpelekesha, simaanishi utajiri na umsikini, bali ni mateso na furaha, mahangaiko na amani, mikosi na utulivu, balaa na bahati.
Hivi ni kama kuna force kubwa inayo tupitisha katika kila mapito, ni kama hatuna nguvu dhidi yake bali tunafikiri ufanyaji kazi kwa bidii, elimu na ufadhili ndio vyakutufanya succesful, happy and lucky. Hivi kuna watu ni kama wameandikiwa ukakasi katika maisha, achilia mbali maisha yamekuwa triggered kuwa magumu kwa sababu ya pesa kuwa introduced katika mifumo ya maisha, ila kuna watu ndio wanarepresent tabu za dunia, wakikupa stori ya maisha yao hauwezi kumhukumu tofauti bali utawaza sanana na kujiuliza maswali mengi.
Kuna watu maisha yao ni kama movie, ni balaa baada ya balaa, wakati wewe unapanga ratiba ya kukutana na marafiki pic nic baada ya kutatua changamoto ndogo ya mirathi ya familia, yeye anapanga shedule ya kutatua mabalaa yanayo mkumba na kuwa tayari kwa yanayo kuja, kwa maana ameshaona maisha yake ni mfumo wa tabu na mahangaiko. it's no joke.
Ushawahi wahi kushuhudia mtu, familia au jamii fulani ikiwa na mlomlongo wa kupitia magumu mara kwa mara bila huruma, na muda mwingine ni yale yale ya kujirudia. Ushawahi jiuliza kuna changamoto zinatokea maishani mwako lakini sio katika mfumo wa kawaida ila ni kama kuna forces zilizo against you na sio za kawaida, sawa naelewa ile kauli ya matatizo yapo ili yawapate watu ila ndio yampate mama yako maisha yake yote hadi anaenda kaburini. Unaweza kuwa katika tabu zilizoharibu mfumo wa furaha maisha yako then ukaona watu wanatabsamu haukajiuliza hivi watu wanapata ujasiri gani wa kutabasamu coz you have lost all joy in life.
Ushawahi kudhani ni kama una bahati mbaya na kila fursa (sio tu za kiuchumi) zinazokuja..yani unakosa kupata kitu cha muhimu sio kwa sababu umeshindwa bali vinatokea viji-obstacles vya kutoeleweka hadi unapoteza. Ushawahi ona mtu ana-hustle kwa akili na nguvu zote, kiuhalali na bila kukata tamaa ila akasongwa na vielelezo vingi (katika hiyo shughuli au nje ya shughuli) visivyo eleweka vitakavyo mpelekea kumuangushsa au kukosa.
What really determines our path through life, je ni karma (ila kumbuka kuna watu hawa kufanya ubaya ila wanapitia ubaya), je maisha yetu yametayarishwa kuwa tutaishi vipi kabla hatujazaliwa, je tunaishi kutokana na matokeo ya malipo ya ubaya au uzuri wa maisha ya waliotutangulia (family ancestors), Je watu wanaharibiwa maisha kupitia uchawi, laana na kunenewa, Je ni kuwa hatujaamua kumfuata Mungu kikamilifu ndio maana tunapitia tabu, Je tunaishi kutokana na viwango vya bahati zetu., je.?...?...?
Utani-judge kwa sababu upo labda katika nafasi ya amani, utulivu wa moyo na haujakumbwa na misusuko, Labda utaweza kuniambia unalalamika nini kuhusu maisha badala upige kazi, lakin kumbuka ndugu kuna watu tabu zao zimeota mizizi hadi katika nyuso zao, zimewaathiri akili zao na sasa hata zinawafata vizazi vyao. Sio kwamba ni kurithi umasikini, sio kwamba walifanya maamuzi mabaya maishani, sio kwamba ni matajiri, sio kwamba wana ufahamu mbovu, bali ndio hivyo yanawatokea.
Hivi ni kama kuna force kubwa inayo tupitisha katika kila mapito, ni kama hatuna nguvu dhidi yake bali tunafikiri ufanyaji kazi kwa bidii, elimu na ufadhili ndio vyakutufanya succesful, happy and lucky. Hivi kuna watu ni kama wameandikiwa ukakasi katika maisha, achilia mbali maisha yamekuwa triggered kuwa magumu kwa sababu ya pesa kuwa introduced katika mifumo ya maisha, ila kuna watu ndio wanarepresent tabu za dunia, wakikupa stori ya maisha yao hauwezi kumhukumu tofauti bali utawaza sanana na kujiuliza maswali mengi.
Kuna watu maisha yao ni kama movie, ni balaa baada ya balaa, wakati wewe unapanga ratiba ya kukutana na marafiki pic nic baada ya kutatua changamoto ndogo ya mirathi ya familia, yeye anapanga shedule ya kutatua mabalaa yanayo mkumba na kuwa tayari kwa yanayo kuja, kwa maana ameshaona maisha yake ni mfumo wa tabu na mahangaiko. it's no joke.
Ushawahi wahi kushuhudia mtu, familia au jamii fulani ikiwa na mlomlongo wa kupitia magumu mara kwa mara bila huruma, na muda mwingine ni yale yale ya kujirudia. Ushawahi jiuliza kuna changamoto zinatokea maishani mwako lakini sio katika mfumo wa kawaida ila ni kama kuna forces zilizo against you na sio za kawaida, sawa naelewa ile kauli ya matatizo yapo ili yawapate watu ila ndio yampate mama yako maisha yake yote hadi anaenda kaburini. Unaweza kuwa katika tabu zilizoharibu mfumo wa furaha maisha yako then ukaona watu wanatabsamu haukajiuliza hivi watu wanapata ujasiri gani wa kutabasamu coz you have lost all joy in life.
Ushawahi kudhani ni kama una bahati mbaya na kila fursa (sio tu za kiuchumi) zinazokuja..yani unakosa kupata kitu cha muhimu sio kwa sababu umeshindwa bali vinatokea viji-obstacles vya kutoeleweka hadi unapoteza. Ushawahi ona mtu ana-hustle kwa akili na nguvu zote, kiuhalali na bila kukata tamaa ila akasongwa na vielelezo vingi (katika hiyo shughuli au nje ya shughuli) visivyo eleweka vitakavyo mpelekea kumuangushsa au kukosa.
What really determines our path through life, je ni karma (ila kumbuka kuna watu hawa kufanya ubaya ila wanapitia ubaya), je maisha yetu yametayarishwa kuwa tutaishi vipi kabla hatujazaliwa, je tunaishi kutokana na matokeo ya malipo ya ubaya au uzuri wa maisha ya waliotutangulia (family ancestors), Je watu wanaharibiwa maisha kupitia uchawi, laana na kunenewa, Je ni kuwa hatujaamua kumfuata Mungu kikamilifu ndio maana tunapitia tabu, Je tunaishi kutokana na viwango vya bahati zetu., je.?...?...?
Utani-judge kwa sababu upo labda katika nafasi ya amani, utulivu wa moyo na haujakumbwa na misusuko, Labda utaweza kuniambia unalalamika nini kuhusu maisha badala upige kazi, lakin kumbuka ndugu kuna watu tabu zao zimeota mizizi hadi katika nyuso zao, zimewaathiri akili zao na sasa hata zinawafata vizazi vyao. Sio kwamba ni kurithi umasikini, sio kwamba walifanya maamuzi mabaya maishani, sio kwamba ni matajiri, sio kwamba wana ufahamu mbovu, bali ndio hivyo yanawatokea.