nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,901
- 14,611
Hapa ninamaanisha kufilisika/kufulia, kukosa uhakika wa kupata angalau chai kwa siku, kutengwa na ndugu.
Kukosa kazi muda mrefu, kuugua na watu kukutenga, kukosa kodi ya nyumba/mahali pa kulala, kusingiziwa kwamba hutafuti kazi au kusemwa umelogwa ndugu kusema una laana.
Kukatishwa tamaa kwamba Mungu kakuacha, kwamba unasali uongo, kudharauliwa na mambo kama hayo.
Je, uliweza vipi kuchomoka katika hali hiyo?
Kukosa kazi muda mrefu, kuugua na watu kukutenga, kukosa kodi ya nyumba/mahali pa kulala, kusingiziwa kwamba hutafuti kazi au kusemwa umelogwa ndugu kusema una laana.
Kukatishwa tamaa kwamba Mungu kakuacha, kwamba unasali uongo, kudharauliwa na mambo kama hayo.
Je, uliweza vipi kuchomoka katika hali hiyo?