kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,325
Nimepitia Challenge nyingi sana kubwa na ndogo, nilichojifunza ni kuwa mitihani ipo kila siku haiishi kamwe kila hatua unayopiga ina aina nyingine za matatizo kwa hiyo ni kukabiliana nayo tu.
"Kila masika na Mmbu wake"
Muhimu ni kuhakikisha unakuwa Problem Solver siyo likija tatizo au ukigonga mwamba unachanganyikiwaaaa Noo! Unatulia kisha unapangua moja baada ya jingine.
"Kila masika na Mmbu wake"
Muhimu ni kuhakikisha unakuwa Problem Solver siyo likija tatizo au ukigonga mwamba unachanganyikiwaaaa Noo! Unatulia kisha unapangua moja baada ya jingine.
