Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 321
Kuna watu wanatake advantage hivyo wanajaza thread kwa vihadithi vyao. Huwa najiuliza, kuwa kiongozi ni lazima utoe motivation speech? kwasababu kibaiolojia pale unachocheza nacho ni Adrenalin tu.
Shida ni kwa kila mtu, ila haimaanishi kila shida ni kubwa kuliko ingine. Mimi nimeshawahi kupresent ushuhuda wangu humu jamvini kupitis IDs tofauti na kwa maneno tofauti, kila aliyecomment alihitimisha kuwa mimi ni "Surviver". Inamaanisha shida sio shida kubwa hadti tu pale inapohatarisha uhai wako kwa miaka mingi mfulizo...hivyo wewe utaitwa survivor.
Wengi humu mmezaliws kwenye familia za wazazi wote wa pande mbili, umaskini wa familia yenu uliyopelekea kukuza kwa shida haumaanishi kuwa wewe umepitia shida, unamaanisha umekulia tu kwenye hali duni iliyopelekea iwe vigumu kufanikiwa kwenye mambo mbalimbali ya kawaida kama vile ajira, mahusiano au uchumi.
Tuulizeni tuliopitia shida.
Shida ni kwa kila mtu, ila haimaanishi kila shida ni kubwa kuliko ingine. Mimi nimeshawahi kupresent ushuhuda wangu humu jamvini kupitis IDs tofauti na kwa maneno tofauti, kila aliyecomment alihitimisha kuwa mimi ni "Surviver". Inamaanisha shida sio shida kubwa hadti tu pale inapohatarisha uhai wako kwa miaka mingi mfulizo...hivyo wewe utaitwa survivor.
Wengi humu mmezaliws kwenye familia za wazazi wote wa pande mbili, umaskini wa familia yenu uliyopelekea kukuza kwa shida haumaanishi kuwa wewe umepitia shida, unamaanisha umekulia tu kwenye hali duni iliyopelekea iwe vigumu kufanikiwa kwenye mambo mbalimbali ya kawaida kama vile ajira, mahusiano au uchumi.
Tuulizeni tuliopitia shida.