financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,367
Amen.Unaweza kudhani umepitia magumu kwenye hii dunia kumbe kunawalipitia zaidi ya uliopitia.
Nilijiona napitia kipindi kigumu kumbe kwa wengine ni kawaida tu.Kikubwa ni kumshukuru mungu kwa zawaidi ya uhai na kuamini kesho itakua siku njema
Mungu amtie nguvu kila mmoja anaepita katika mapito yoyote.
Amina