mi wakati nimemaliza chuo,ilikuwa ni balaa,nilikuwa na mpenz wng wakati mi niko home ye alikuwa bado yuko chuo,sina hata mia sku moja akaja geto jioni mda wa kulala nikashangaa analia tu wakati wa tendo tena anatoa ushirikiano balaa bt coz mi namjua ikabidi nistishe kwanza nikamuulza vp kwani,c akafunguka kwamba kafulia na jana yake kuna mtu alikuwa anapenda kumsalimia sn pale chuon sasa alimwalika menu nje ya chuo nyt coz alikuwa hana ktu ikabd aende jamaa likamnunulia menu,likampa na elf 10,ksha likampeleka lodge klchoendelea,...daah kweli mi nlimuonea tu huruma na nlmsamehe bt alilia usku kucha mi nkawa mmbembelezaji tena,after wote kumalza chuo naye akaja geto she was like me very much lyf lilikuwa tyt balaa ikfka mda wa kulala mnalala mmemalza kila ktu mpaka maji ya kunywa na hamjui tmr itakuaje bt ashukuriwe MUNGU hatukuwahi kulala na njaa,leo ndo mke wangu na tuna watoto 2.