xb664
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 200
- 129
Dunia ya leo.,kumpata rafiki ni shidaawatu wengi ndo wenye tabia hizi haswa watu baki (marafiki) ni wanafiki hatari
Dunia ya leo.,kumpata rafiki ni shidaawatu wengi ndo wenye tabia hizi haswa watu baki (marafiki) ni wanafiki hatari
Ndugu, nashukuru sana kwa maelezo yako. Kiufupi, sio kweli kwamba muda wote naomba kwa ajili ya Kazi. Ukweli ni kwamba, toka nimeelewa siri za ufalme wa Mungu hata hamu ya kuajiriwa sina. ( Vyeti huwa naviweka tu mbele za Mungu ili mapenzi yake yatimizwe)
Mara nyingi huwa naomba kwa Rehema za Mungu, Anionyeshe ufalme wake, Anisamehe Makosa yangu, Anipe nguvu na Mamlaka za kufanya vitu hapa Duniani kama huko Mbinguni kwa ajili ya utukufu wake katika Kristo Yesu.
Ndugu, nielewavyo mimi, Mungu wetu ni mwema sana; Yeye yupo tayari kumsamehe Mwanadamu yeyote aliyetayari kuzifuata njia zake katika roho na kweli.
Ni kweli tunatakiwa kupatana na watu + kuishi nao vizuri. Kuna watu kama wakina Paul, walikua wakiwatoa machozi watu wengi sana. Mungu hafanyi Kazi zake kama wanadamu.
Yesu alidhaniwa kuwa kalaaniwa, kafungwa, katupiwa mikosi, n.k ; hivyo hivyo hata kwa kina ayubu na wengine.
Binafsi nafahamu kuwa , tunaishi katika Ulimwengu wa Uovu. Na ili tuweze kuushinda ni lazima kwanza tuutafute Ulimwengu wa Mema na Elimu yake yote. Kwahiyo basi ili tuweze kuyavuka mabaya ni lazima tujiandae ku - suffer, kuwa rejected, kuuliwa na kuwa resurrected kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
Mtu yeyote ambae kaamua kweli kuwa karibu na Mungu lazima awe na mind set hiyo.
Kwahiyo basi ninayopitia ni sahihi kabisa mbele za Mungu , na ninafarijika sana kuona ananiongoza katika njia zake, sio kwenye njia za Uovu.
I mean, ningeweza kwenda kwa waganga au kuwa mharifu badala yake.
#GodKnowsTheBest
Asante mkuu kwa maelezo toshelevu, nimechangia mara mbili juu kutokana na mchango wako wa mwanzo, ungeandika haya mwanzo ningechangia tofauti. ILA habari yako it's too big kuwa katika topic hii, habari yako ni topic nyingine kabisa inayo jibeba, habari yako it's more than Majaribu, Siwezi changia kitu katika hili, ila kusoma tena na tena na kujifunza mengi katika testimony hii ya maisha yako, kama nilivyo changia above, Mungu anakusudio kuu katika masiha yako, wengi hawatakuelewa, wengi watakudhihaki lakini kusudio la Mungu lazima litimie, GOD BLESS YOU. AMENNina Vita kubwa sana katika Ulimwengu wa Roho, kwasababu shetani na majeshi yake yote wananifahamu vizuri sana , that I am a noble person ( A righteous branch and the repairer of the broken walls) ; Naelewa kuwa wanaumiza vichwa sana jinsi ya kunimaliza kwa muda mrefu wameshindwa.
Wakati nazaliwa, nilizaliwa nikatoka na chupa ya uzazi kama mnyama; na hata baada ya kuipasua chupa wakanikuta kondo la uzazi limeniviringa mara tatu shingoni.
Nikiwa na 3 years, niligundulika kuwa ni bubu, nikakatwa karimi.
Baadae nikapata mke mwenye HIV+ na nimeishi nae kwa zaidi ya 8 years bila kupata maambukizi wala watoto wangu kupata maambukizi. What a mighty God.
So nina elewa kuwa Mwili wangu sio wa kawaida, kwasababu ya kuepuka vifo vingi sana. Niliwahi kutekwa na Magaidi zaidi ya mara 2 na hawakuweza kunifanya kitu.
I know the truth, wa haya yote. Sio kwa nguvu zangu.
Ina maana hao watoto haumwi kabisa?Watoto wa Bakhresa, Mengi au Mo dewje ktk maisha yao yote kuanzia wakiwa tumboni mwa mama yao hawatokaa wajue maisha magumu ni kitu gani au waje wapitie maisha magumu! Na sis tutafute hela kwa bidii watoto wetu wasije kupitia njia tulizo pitia tujitume tuachane na siasa
Kuna kitu ninajifunza kwenye uzi huu_maake aliyonifanyia boss wangu hapa ofcn....bila kosa ila just kunikomoa.....God knows.
Ninaelewa hivyo 100% kwani toka nikiwa mdogo hadi leo hii nimekuwa nikitabiriwa na watu wengi sana kuhusu future yangu. Watu mbalimbali mashuhuri na wakawaida.Your testimony is beyond imagination. Mungu anakusudi kubwa juu yako.
Let the Lord be exalted! He Reigns!!!That's Bravoo Roger
So sad,...pole mkuu.Napitia huu uzi nikiwa sina hela ya kula mwanangu anaumwa sina hela ya kumpeleka hospital.Kazi nimeachishwa mafao yamezuiwa.Utakapowakumbuka wengine nami usinipite Mungu wangu.
We Must always love+ pray for our enemies ,for God's Glory, in Jesus Christ Name.Usife moyo mpendwa.... Nami pia bosi wangu kuna mambo alikuwa akinifanyia kuhakikisha naondolewa Kazini.... hakika sikukata Tamaa.... Nilimwamini Mungu na kuzidi kufanya Kazi kwa bidii.... Nilimshirikisha Mchungaji changamoto hiyo... Hakika Mungu si mwanadamu.... shimo alilotamani nidumbukie..... Tumbua Tumbua imempitia....Amedumbukia katika lile lile shimo alilochimba. Hakika mwanadamu hawezi kuziba riziki ya mtu....na kwa wenye vyeo.... wakumbuke ni dhamana tuu.... Mwisho wa ubaya Aibu....
We Must always love+ pray for our enemies ,for God's Glory, in Jesus Christ Name.
Let the Lord be exalted! He Reigns!!!
Take heart my brother.!!! Jesus Christ is aware of your situation.Napitia huu uzi nikiwa sina hela ya kula mwanangu anaumwa sina hela ya kumpeleka hospital.Kazi nimeachishwa mafao yamezuiwa.Utakapowakumbuka wengine nami usinipite Mungu wangu.
NDUGU, Jamaa, Marafiki, watu wa karibu sana , hata mke au Mme. Tizama hapa mke wa Ayubu , aliyekuwa amezoea maisha ya raha, na akaanza kuwa against Mme wake wakati wakiwa kwenye dhikiHata ndugu pia.
......Elungata dislike thisNapitia huu uzi nikiwa sina hela ya kula mwanangu anaumwa sina hela ya kumpeleka hospital.Kazi nimeachishwa mafao yamezuiwa.Utakapowakumbuka wengine nami usinipite Mungu wangu.
Mtu yeyote anayeishi chini ya Hisia zake, mara nyingi hufikiri kuwa matajiri wana maisha ya raha sana. Uhalisia ni kwamba, wanaishi maisha ya Tabu sana ( Hawana Amani, Misongo ya Mawazo, Maradhi sugu, Hawana Furaha , Muda wote wanaishi kwa wasiwasi, Kukosa hamu ya kula , Kukosa usingizi n.k )Ina maana hao watoto haumwi kabisa?
Kitendo cha kuwa mgonjwa pia, ni kupitia hali ngumu
Thanks nduguSo sad,...pole mkuu.
Powerful!!!Kitu cha muhimu ni kumrudia Mungu utubu dhambi zako kwanza Na kuanza kumwamini yeye Na kumshirikisha kwa kila Jambo hakina atakushindia katika shida zako zote yeye ni mweza Wa yote