Leo umeandika post ndefu sana rafiki. Sote tunapitia magumu at some point. Ni kuwa wagumu na kupambana tu.Kuna mahali inafika unaona kama dunia haitaki ushirikiano nawe,unaona wote ni kama wamekutenga hakuna anaejali matatizo yako hata wale wa karibu yako hawakuoni.
Unabaki wewe na Mungu wako tu,ni kipindi kigumu kwakila mtu. Tumepita na tunaendelea kupita kwenye changamoto mbalimbali....
Muhimu ni kua karibu na mungu zaidi na atakuvusha salama.
Ha haa kwani siandikagi ndefu jamani?Leo umeandika post ndefu sana rafiki. Sote tunapitia magumu at some point. Ni kuwa wagumu na kupambana tu.
Word!! Hapa umenikumbusha jambo lililoifedhehesha nafsi yangu sana sana... Kuna kipindi nilipitia hali ngumu sana, sikuwa na mtu wa kushare naye hata ideas kutokana na nature ya watu walionizunguka. Akatokea mtu aliyehisi kuwa nina tatizo linalonisumbua. Alionekana kutaka kunisaidia kisaikolojia maana nilikuwa kama mtu niliyechoka sana, sura ilipoteza nuru na nikaonekana kuwa mnyonge kila mara. Katika kunihoji nikaona nimweleze huenda nitapata relief moyoni... Kumbe alikuwa chui katika vazi la kondoo....alizidi kunichinjia kwenye maji... Akanizidishia matatizo... Poor Patience...kufikwa na matatizo ni tatizo ila kukosa mtu wa kushare nae hayo matatizo (hata wa kumhadithia tu) ni tatizo zaidi!
Kuna umuhimu sana wa kusamehe watu wote wanaotukwaza + kuwaombea mema.Word!! Hapa umenikumbusha jambo lililoifedhehesha nafsi yangu sana sana... Kuna kipindi nilipitia hali ngumu sana, sikuwa na mtu wa kushare naye hata ideas kutokana na nature ya watu walionizunguka. Akatokea mtu aliyehisi kuwa nina tatizo linalonisumbua. Alionekana kutaka kunisaidia kisaikolojia maana nilikuwa kama mtu niliyechoka sana, sura ilipoteza nuru na nikaonekana kuwa mnyonge kila mara. Katika kunihoji nikaona nimweleze huenda nitapata relief moyoni... Kumbe alikuwa chui katika vazi la kondoo....alizidi kunichinjia kwenye maji... Akanizidishia matatizo... Poor Patience...
Through hardships we do not only learn to struggle, we do also learn who truly friends are.Hiyo hali inatokea sana. Na haitakuja kutokea kuisha. Ilishawahi kunitokea aliekuja kunisaidia ni ndugu yangu wa damu. Kila rafiki ninayejaribu kumkopa ananiambia nikakope benki. Baada ya kuwa vizuri nilipunguza marafiki kwa 98%. Sikuona umuhimu wa kuwa na marafiki wa whattsap wakati ukiwa na shida anakukacha.
Kama ni kweli mkuu usituhadithieMaisha niliyopitia mimi nikiamua kuhadithia hapa wote mtamwaga machozi.
Mkuu kuna ule mstari unasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Hayo yote uliyoyaandika , ndio nayapitia sasa. Tena yamekuwa kwa muda mrefu sana.
Ilifika mahala nikaenda SCOAN Nigeria kwa PTB Joshua kwa njia ya bara bara ( nilitumia siku 76 kufika)
Nimekuwa kiroho sana. But matatizo yapo pale pale. Na yanazidi kuongezeka mpaka kukimbiwa na watu wa karibu kabisa, uliowasomesha na kuwainua juu.
Wakwe kukuona kama mwehu, mke kukuona hufai , na kuudharau Wokovu wako.
Mara waseme sitaki Kazi, na kwamba nachagua Kazi. Wakwe wanamsisitiza mke wangu aachane na Mimi kuwa nampotezea muda, sina Kazi.
Nakuwa karibu sana na Mungu kila mara. Na ninafunga na kuomba kila mara.
Hii ni sehemu ambayo naitumia kusali mchana na Usiku..., asubuhi mchana jioni.
Usiku kabla ya saa 6 , Then saa 7-8 , na saa 9-10.
Nimetandaza vyeti vyangu vyote kuanzia chini hadi Postgraduate, na mahitaji ya watu wengine.
Natumia muda kuwaombea maadui
![]()
Je unafahamu kwanini Yesu aliwaambia wale kina Mama wasimlilie? Kuna siri kubwa sana kwenye machozi.Kama ni kweli mkuu usituhadithie
SureThrough hardships we do not only learn to struggle, we do also learn who truly friends are.
Kwa kweli liliniuma, imepita miaka but limening'ang'ania moyoni.... Huwa najaribu kusahau lakini nashindwa... Pengine nahitaji counseling ya hali ya juu..maana imekuwa kama weakness kwangu. Acha kabisa ndugu.Kuna umuhimu sana wa kusamehe watu wote wanaotukwaza + kuwaombea mema.
Ndugu, ni vigumu sana kuelewa ninayopitia. Na kile ninachopata baada ya maombi.Mkuu kuna ule mstari unasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Kuokoka haina maana ndio uache kazi,yani 24 hours uwe tu maombini.
Unahitaji Counseling, Understanding + Hekima ili uwe sawa katika hilo.Kwa kweli liliniuma, imepita miaka but limening'ang'ania moyoni.... Huwa najaribu kusahau lakini nashindwa... Pengine nahitaji counseling ya hali ya juu..maana imekuwa kama weakness kwangu. Acha kabisa ndugu.
Unahitaji Counseling, Understanding + Hekima ili uwe sawa katika hilo.Kwa kweli liliniuma, imepita miaka but limening'ang'ania moyoni.... Huwa najaribu kusahau lakini nashindwa... Pengine nahitaji counseling ya hali ya juu..maana imekuwa kama weakness kwangu. Acha kabisa ndugu.