Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,988
- 3,689
Asee asikwambie Mtu kuna watu tumepitia mengi mpaka ukihadhia mtazani ni maigizo yani mtu na degree yake anapata tabu anachakaa na kua kama ndorobo.
Nimepitia changamoto mpaka nikahisi dunia imeamua kunivalia bukta bila boksa.
Aaaa ata sitaki tena kukumbuka nilikotokea kwani kuna kipindi nilitaman nisahau lakini inashindikane usiombe ukutwe sikia tu kwa wenzako.
Nimepitia changamoto mpaka nikahisi dunia imeamua kunivalia bukta bila boksa.
Aaaa ata sitaki tena kukumbuka nilikotokea kwani kuna kipindi nilitaman nisahau lakini inashindikane usiombe ukutwe sikia tu kwa wenzako.