Sara
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 1,060
- 933
Amen sis. It is well with my soul, huu wimbo umekuwa ukitupa matumaini makubwa mnoo. His life is a living testimony
Me nina wimbo huu, kuna mwingine wa Tenzi pia unaitwa "Nipitapo Majaribu"
1. Nipitapo majaribu katikati ya miiba
Ninatosheka kwa kuwa, Unanifikiri
×××Unanifikiri mimi, waniwaza sana
Nahitaji kitu gani, wewe wanitosha
2. Masumbufu ya dunia, yasongayo moyo wangu
Mwisho yananikumbusha, unanifikiri
3. Shida zija au zisije, maisha bora au ya shida
Mwisho yananikumbusha, unanifikiri
Na kuna ule Liseme - Sarah K. Afu Nikimaliza namsikiliza Joel Osteen- Having the right perspective Aaah ni nitalia wee, Nikimaliza hapo nakuwa na hiyo amani daah, nacheka tu
Wimbo wa marehem mama yangu, alifafiki mwaka 1994 ila bado nmuona akiimba bado


Joel osteen alinibariki sana mwaka 2013 na somo la "get over it"