Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,241
- 4,441
Swali zuri sana Mkuu
Sijawahi kuacha kwenda kanisani kutubu dhambi zangu maana kwa namna moja au nyingine huwa tunamkosea Mungu pasipo kutambua, pamoja na kuwaombea ndugu/familia/marafiki zangu wote kwani Mungu ni mwingi wa rehema na haishiwi rehema na uwezo wa kusamehe ni mwenye huruma sana kwa waja wake na wote wenye Imani,Pili Sijawahi kuacha kutoa sadaka na fungu la kumi,Tatu na Mwisho nimefunga ndoa ya kikristo na wanangu wawili wamebatizwa kanisani.
Umebarikiwa Rural Swagga