Je, ni wanawake wa makabila gani hapa Tanzania wakiolewa hawajihesabii kuwa sehemu ya kudumu ya ukoo na familia ya Mume?

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,411
11,061
Hello JF family,

Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.

Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.

Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.

Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.

Inshallah

Wadiz
 
Karibu wanawake wote, ila siyo kabila.Sikuzote familia ya kila kabila inapoozesha binti utaka kuunganisha ukoo ila shida ni hao mabinti wakishaolewa hujivimbisha na kupata kiburi eti akinipenda mume inatosha sijaolewa na ukoo.Hizi ndoa hizi bhana
Daah umeiweka kwa uwazi na kweli thanks, na je, huwa wanawaza siku moja kurudi kwao au ndio ile wanaamini they can be better solitarily pia?
 
Kujihesabia part ya ukoo wa mtu haina kabila inategemea na mahusiano yaliyopo baina ya hao watu.....mama mkwe hakupendi mawifi hawakuelewi utaenda kujihesabia huko ili iwe nini sasa???
#nikifankazikwe kenya😁
je, haipo naturally au mafundisho ya kikabila yenye ubinafsi, ubaguzi ufia kabila, nje na hio ya kukutana na vikwazo vya ndugu wa mume, maana wapo wanawake ambao wao ndio wanachukia ndugu wa mume.
 
Karibu wanawake wote, ila siyo kabila.Sikuzote familia ya kila kabila inapoozesha binti utaka kuunganisha ukoo ila shida ni hao mabinti wakishaolewa hujivimbisha na kupata kiburi eti akinipenda mume inatosha sijaolewa na ukoo.Hizi ndoa hizi bhana
Kwa huu ujumbe ni ishala unatokea jamii yenye kubariki kuwa sehemu ya mume jumla.
 
Hello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.

kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.

Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.

Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.

Inshallah

Wadiz
Kaskazini
Depal njoo pande hii😀😀
 
Baba yangu aliwahi kuniambia hivi.... huyo ni mke wako wewe peke yako, na akaongeza huyo sio mke wetu.
Baba mkwe wangu aliwahi kuniambia hivi.... huyo ni mke wako na hana mamlaka ya kuja kwao pasipo ruhusa/barua yako.

Skuizi nikikaa natafakari haya maneno hua naona yana maana kubwa sana, kisha namwambia mke wangu ebu tuishi kwa amani na upendo.
 
Kujihesabia part ya ukoo wa mtu haina kabila inategemea na mahusiano yaliyopo baina ya hao watu.....mama mkwe hakupendi mawifi hawakuelewi utaenda kujihesabia huko ili iwe nini sasa???
#nikifankazikwe kenya😁
Kwani mama mkwe naye ni sehemu ya ukoo ule basi?
Sema ukikubaliana na mumeo kuwa wewe ni kitu kimoja basi mmesimamia misingi ya ukoo. Wala msidhani kuwa ukikaa vyema na mama.mkwe ndo ukoo unakukubali.
 
Back
Top Bottom