Je, ni uchawi au saikolojia?

Je, ni uchawi au saikolojia?

Hakukuwa na lolote. Kwamba bundi asilie, paka je?.
Unaona sasa mkuu, sasa hapo ndio unaita huo ni uchawi? Mambo ya bundi kulia hizo ni imani zenye kuhusu uchuro na mikosi hivyo ni tofauti na tunachojadili hapa.
 
Weka maarifa yako makubwa tujifunze mkuu niko na 🖊 hapa tayari
Sizungumzii maarifa makubwa bali ule uelewa tu kidogo wa kile unachokipinga, inapendeza mtu unabisha kitu kutokana na uelewa wa hicho kitu na si kwamba unabisha kwa sababu ya kukosa uelewa wa hilo jambo.

Mfano wewe umeshikilia kusema uchawi si lolote ni issue ya saikolojia tu huku ukirejelea tukio lako lililokutokea la kuona mauzauza, wakati uchawi hauishii kwenye kuhusishwa kwa kumroga mtu tu hadi uitimishe kwamba ni issue ya saikolojia tu, sasa ukielezwa upana wa uchawi unavyoweza kutumika unasema utabaki na msimamo wako tu.
 
Unaona sasa mkuu, sasa hapo ndio unaita huo ni uchawi? Mambo ya bundi kulia hizo ni imani zenye kuhusu uchuro na mikosi hivyo ni tofauti na tunachojadili hapa.
Ktk jamii uchawi ni chaka kubwa linalohusisha kila kitu anayeuamini atakachokichaguwa.
Wewe mwenyewe huwezi kueleza huo uchawi.
 
Ukijifungia ndani ya chumba, utakuwa na uwezo wakuzungumzia mambo yote yaliyoko katika hicho chumba unayoyaona. Na ukijifungia nje na chumba vilevile waweza zungumzia yote yaliyoko nje ya chumba unayoyaona. Hivyo basi ukiwa nje au ndani huwezi zungumzia ya upande wa pili ambao hauko, na ikatokea wazungumzia utakuwa huna experience zaidi ya kusikia.

Na mtu aliye pande mmoja wapo katika mfano huu, huwa hapendi kuzungumza kuyahusu huo upande aliopo.
Sawa mkuu
 
Sizungumzii maarifa makubwa bali ule uelewa tu kidogo wa kile unachokipinga, inapendeza mtu unabisha kitu kutokana na uelewa wa hicho kitu na si kwamba unabisha kwa sababu ya kukosa uelewa wa hilo jambo.

Mfano wewe umeshikilia kusema uchawi si lolote ni issue ya saikolojia tu huku ukirejelea tukio lako lililokutokea la kuona mauzauza, wakati uchawi hauishii kwenye kuhusishwa kwa kumroga mtu tu hadi uitimishe kwamba ni issue ya saikolojia tu, sasa ukielezwa upana wa uchawi unavyoweza kutumika unasema utabaki na msimamo wako tu.
Ahaa sawa mkuu
 
Kisa cha kwanza

Mwaka 2006 nikiwa nipo below 20 nilienda sehemu fulani kwa ndugu yangu aliyekuwa ameolewa. Nikakuta kuna hali ya unafiki na uonevu nikashindwa kuvumilia nikawa namchana makavu yule Ba mjengo mpaka akawa anajifanya anasema nitamuuwa kwa presha akawa anasusa mpaka kula 😅

Na ana watoto wakubwa tu mwanae wa kwanza kanizidi kama miaka 12 hivi halafu ni mwanamke na akawa ananikubali sana yaani cuzo unachofanya nasikia burudani sana maana huyu mzee ni mchwawi tu 😂😂😂

Basi ulivyofika muda wa kwenda shule nikaondoka pale nikaenda mkoa mwingine kuendelea na shule, sasa nikiwa huo mkoa kuna siku nikaota ndoto yule Ba mjengo anaenda baiskeli tena phoenix chakavu kanipitia miguuni kanigonga aisee nilitoa ukulele ile siku mpaka nikaamka.

Nilipoamka nikaona miguu imeanza kuvimba na iliendelea kuvimba sana mpaka nikawa siwezi kuvaa viatu, nikawa navaa yale mayeboyebo ya kipindi 😅 (sijui kama mnayukumbuka maana sasa hivi kuna Crocs )

Hali ya miguu ilikuwa mbaya mpaka nikasafiri kurudi jijini Dar es Salaam, nikaenda Hospital nikaambiwa inatakiwa nifanyiwe operation 😥 nililia sana na sikuwa na uwezo wa kuhoji lakini nilikuwa nalia mpaka ikashindikana. Sasa basi kuna Uncle wangu ni Mganga ( Mganga kweli 😂 maana kuna Waarabu walikuwa wanatoka Oman, Bahrain na nchi za Gulf walikuwa wanamfuata na Mimi nilikuwa naitwa kwenda kuwa mtafsiri 😂😂😂 kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili mpaka Kisukuma.

Nikamwambia sitaki kuchanwa miguu mimi naomba unisaidie , basi kikachinjwa kifaranga cha kuku nikakitemea mate mdomoni hatimaye mwili wangu wote ukawa ndani ya kile Kifaranga ndio akaanza kuangalia kuna nini ndani ya mwili ? Ikaonekana Figo zangu zilikuwa chafu na ndio maana miguu ilikuwa inavimba na huo uchafu ni uchawi niliolishwa.

Basi akanipa dawa ya kunywa kwenye uji siku tatu tu nikawa naona mabadiliko ndani ya siku 7 nikapona kabisa miguu.

ShesRise_1 kama nilivyo sema hapo awali Uchawi ni dhana ambayo Tukio linaonekana, Tafsiri ipo lakini Ushahidi hakuna. Kwa kisa hiki wadau mnasemaje ?
 
Kisa cha kwanza

Mwaka 2006 nikiwa nipo below 20 nilienda sehemu fulani kwa ndugu yangu aliyekuwa ameolewa. Nikakuta kuna hali ya unafiki na uonevu nikashindwa kuvumilia nikawa namchana makavu yule Ba mjengo mpaka akawa anajifanya anasema nitamuuwa kwa presha akawa anasusa mpaka kula 😅

Na ana watoto wakubwa tu mwanae wa kwanza kanizidi kama miaka 12 hivi halafu ni mwanamke na akawa ananikubali sana yaani cuzo unachofanya nasikia burudani sana maana huyu mzee ni mchwawi tu 😂😂😂

Basi ulivyofika muda wa kwenda shule nikaondoka pale nikaenda mkoa mwingine kuendelea na shule, sasa nikiwa huo mkoa kuna siku nikaota ndoto yule Ba mjengo anaenda baiskeli tena phoenix chakavu kanipitia miguuni kanigonga aisee nilitoa ukulele ile siku mpaka nikaamka.

Nilipoamka nikaona miguu imeanza kuvimba na iliendelea kuvimba sana mpaka nikawa siwezi kuvaa viatu, nikawa navaa yale mayeboyebo ya kipindi 😅 (sijui kama mnayukumbuka maana sasa hivi kuna Crocs )

Hali ya miguu ilikuwa mbaya mpaka nikasafiri kurudi jijini Dar es Salaam, nikaenda Hospital nikaambiwa inatakiwa nifanyiwe operation 😥 nililia sana na sikuwa na uwezo wa kuhoji lakini nilikuwa nalia mpaka ikashindikana. Sasa basi kuna Uncle wangu ni Mganga ( Mganga kweli 😂 maana kuna Waarabu walikuwa wanatoka Oman, Bahrain na nchi za Gulf walikuwa wanamfuata na Mimi nilikuwa naitwa kwenda kuwa mtafsiri 😂😂😂 kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili mpaka Kisukuma.

Nikamwambia sitaki kuchanwa miguu mimi naomba unisaidie , basi kikachinjwa kifaranga cha kuku nikakitemea mate mdomoni hatimaye mwili wangu wote ukawa ndani ya kile Kifaranga ndio akaanza kuangalia kuna nini ndani ya mwili ? Ikaonekana Figo zangu zilikuwa chafu na ndio maana miguu ilikuwa inavimba na huo uchafu ni uchawi niliolishwa.

Basi akanipa dawa ya kunywa kwenye uji siku tatu tu nikawa naona mabadiliko ndani ya siku 7 nikapona kabisa miguu.

ShesRise_1 kama nilivyo sema hapo awali Uchawi ni dhana ambayo Tukio linaonekana, Tafsiri ipo lakini Ushahidi hakuna. Kwa kisa hiki wadau mnasemaje ?
Ngoja nisome kaka but
I’m not feeling well
 
Kisa cha kwanza

Mwaka 2006 nikiwa nipo below 20 nilienda sehemu fulani kwa ndugu yangu aliyekuwa ameolewa. Nikakuta kuna hali ya unafiki na uonevu nikashindwa kuvumilia nikawa namchana makavu yule Ba mjengo mpaka akawa anajifanya anasema nitamuuwa kwa presha akawa anasusa mpaka kula 😅

Na ana watoto wakubwa tu mwanae wa kwanza kanizidi kama miaka 12 hivi halafu ni mwanamke na akawa ananikubali sana yaani cuzo unachofanya nasikia burudani sana maana huyu mzee ni mchwawi tu 😂😂😂
Kaka hapa nakuona ulivyokua una vimba wakati unapokea maua kutoka kwa cuzo
Basi ulivyofika muda wa kwenda shule nikaondoka pale nikaenda mkoa mwingine kuendelea na shule, sasa nikiwa huo mkoa kuna siku nikaota ndoto yule Ba mjengo anaenda baiskeli tena phoenix chakavu kanipitia miguuni kanigonga aisee nilitoa ukulele ile siku mpaka nikaamka.

Nilipoamka nikaona miguu imeanza kuvimba na iliendelea kuvimba sana mpaka nikawa siwezi kuvaa viatu, nikawa navaa yale mayeboyebo ya kipindi 😅 (sijui kama mnayukumbuka maana sasa hivi kuna Crocs )

Hali ya miguu ilikuwa mbaya mpaka nikasafiri kurudi jijini Dar es Salaam, nikaenda Hospital nikaambiwa inatakiwa nifanyiwe operation 😥 nililia sana na sikuwa na uwezo wa kuhoji lakini nilikuwa nalia mpaka ikashindikana. Sasa basi kuna Uncle wangu ni Mganga ( Mganga kweli 😂 maana kuna Waarabu walikuwa wanatoka Oman, Bahrain na nchi za Gulf walikuwa wanamfuata na Mimi nilikuwa naitwa kwenda kuwa mtafsiri 😂😂😂 kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili mpaka Kisukuma.

Nikamwambia sitaki kuchanwa miguu mimi naomba unisaidie , basi kikachinjwa kifaranga cha kuku nikakitemea mate mdomoni hatimaye mwili wangu wote ukawa ndani ya kile Kifaranga ndio akaanza kuangalia kuna nini ndani ya mwili ? Ikaonekana Figo zangu zilikuwa chafu na ndio maana miguu ilikuwa inavimba na huo uchafu ni uchawi niliolishwa.

Basi akanipa dawa ya kunywa kwenye uji siku tatu tu nikawa naona mabadiliko ndani ya siku 7 nikapona kabisa miguu.

ShesRise_1 kama nilivyo sema hapo awali Uchawi ni dhana ambayo Tukio linaonekana, Tafsiri ipo lakini Ushahidi hakuna. Kwa kisa hiki wadau mnasemaje ?
Kaka wewe pia ni msukuma 😅sikujua kuhusu hili please nipe mwaliko nije mwanza nile samaki fresh wa ziwani

Hilo tukio lako ni story fulani ya kusisimua 😢
Natamani nikuamini 🤔
 
Back
Top Bottom