Je, ni uchawi au saikolojia?

Je, ni uchawi au saikolojia?

Weka swali vizuri. Liwe straight kwa jibu la ndio au hapana. Hapa sio shule tuandike essays zisizo na kichwa wala miguu..

Mimi hoja yangu haijazungumzia mazingaombwe popote.

Mambo ya mazingaombwe umeyaleta wewe halafu unahamishia kwangu nithibitishe kwa essay
Mweshimiwa sana, majibu ninayohitaji ni zaidi ya NDIYO au HAPANA.
Either way haushurutishwi kutoa jibu lolote, hata usipojibu pia ni majibu.
 
Ukiwa na maana?
wakati unasubiri jibu lake napenda kukujulisha kitu japo sio kwa umuhimu sana. Leo nimeamkia lindoni, kuna dada huwa anatuletea kifungua kinywa, aisseh amenipa chai imekolezwa tangawizi hadi nikajiuliza isije ikawa huu ukali wa Tangawizi ndio uchawi wenyewe.
 
Mweshimiwa sana, majibu ninayohitaji ni zaidi ya NDIYO au HAPANA.
Either way haushurutishwi kutoa jibu lolote, hata usipojibu pia ni majibu.

Hoja ya mazingaombwe nimeitaja wapi? Mbona umeniletea hoja ambazo sijazitaja halafu unataka nitolee majibu kuhusu hayo mazingaombwe yako
 
wakati unasubiri jibu lake napenda kukujulisha kitu japo sio kwa umuhimu sana. Leo nimeamkia lindoni, kuna dada huwa anatuletea kifungua kinywa, aisseh amenipa chai imekolezwa tangawizi hadi nikajiuliza isije ikawa huu ukali wa Tangawizi ndio uchawi wenyewe.
Ona akili zako sasa 😅😅
 
Mada ni pana sana hii na wabongo wanayajua mengi lakini kuongea kweli kwao ni dhambi 😅
Sema nilichogundua pia kuna watu wengi wanaamini uchawi ila katika namna ya kusikia tu kuliko kushuhudia, na kuna wenye kupinga huo uchawi kama kitu wanachokisikia tu pia yani anatumia nguvu kubwa kupinga huo uchawi ilhali hata ule uelewa tu wa hicho anachokipinga ni mdogo mno.
 
, na kuna wenye kupinga huo uchawi kama kitu wanachokisikia tu pia yani anatumia nguvu kubwa kupinga huo uchawi ilhali hata ule uelewa tu wa hicho anachokipinga ni mdogo mno.
Weka maarifa yako makubwa tujifunze mkuu niko na 🖊 hapa tayari
 
Ukijifungia ndani ya chumba, utakuwa na uwezo wakuzungumzia mambo yote yaliyoko katika hicho chumba unayoyaona. Na ukijifungia nje na chumba vilevile waweza zungumzia yote yaliyoko nje ya chumba unayoyaona. Hivyo basi ukiwa nje au ndani huwezi zungumzia ya upande wa pili ambao hauko, na ikatokea wazungumzia utakuwa huna experience zaidi ya kusikia.

Na mtu aliye pande mmoja wapo katika mfano huu, huwa hapendi kuzungumza kuyahusu huo upande aliopo.
 
Back
Top Bottom