spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
KipenzPopo mpo wap leo?

Mkuu Tz ni 00:39 muda huuMexico hapa...sasa ni saa 05:37am. tunaamka sasa tuianze mitikasi
Mdogo wake na baba sijakuekewa
Utanielewa comrade kibumbuMdogo wake na baba sijakuekewa
01:22Mwifwa hapo ulipo saa ngapi muda huu mkuu?
mkuu kasema pigeni kazi kama machiziii
na pesa itakuja kama mishuuuuzzzziii![]()

Mkuu hii picha umenikumbusha mbalimkuu kasema pigeni kazi kama machiziii
na pesa itakuja kama mishuuuuzzzziii![]()
Kipindi watoto wa ki Congo wanapiga misele parking,napika wali dagaa chini ya telamkuu kasema pigeni kazi kama machiziii
na pesa itakuja kama mishuuuuzzzziii![]()