JamiiForums Usiku wa manane
Nauza tecno s1 65000 nimetumia wiki mbili. Haina tatizo lolote kila kitu chake kipo. Nauza kwasabab naenda shule
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Ndugu kama uko macho usifumbe hata kidogo huu ndo mda wa wachawi kufanya yao

Watakuchezea wanavyotaka na kukugeuza geuza wanavyotaka

Huu ndo mda wa kwenda kujenga maghorofa ya watu usilale bora tu uchukue biblia yako usome au quran yako usome

Usilale mdau

Mimi nimezaliwa familia ya kichawi kwahiyo najua mbinu zote za wachawi

Huu ndo mda wale walioa hubak na fisi kitandan na wake zao huenda kwenye uloz

LONDON BABY
Ilikuwaje ? Ulimuwa unawaona
 
0dfd60e66a83fae2bc6689b8f1f62f5e.jpg
Hii ndio ile pombe yenye nyoka ndani amaa?
 
Back
Top Bottom