Yakaribia saa 11.alfajir nipo macho nasikiliza redio mbalimbali za Tanzania na kuna wakati nasikiliza redio za nje.Nishapanga ratiba vizuri ya ka mradi kangu ka baba ntilie,ambako kuna watumishi 2.Mmoja anapika vyakula tu kama ugali,wali,nyama na mboga za majani.Mwingine anahudumia wateja na usafi wa meza na vyombo.Mimi mwenyewe hupika vitafunio kama chapati,sambusa,maandazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.