Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,331
- 96,584
04:13
Nipo naangalia azam tv,mpira wa nigeria na tunisia ndio umeishaNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Napitisha roll call, foleni kombania haraka.01:00 usiulize we pigia mstari
Copy that roger 02:31Napitisha roll call, foleni kombania haraka.
03:06 checkmateNapitisha roll call, foleni kombania haraka.
00:43 kuja kambini chapNapitisha roll call, foleni kombania haraka.
Ina sikitisha sana, wewe chelkenge ume gegedwa vibaya sanaInasikitisha sana
1:50 Mkuu kumbe wewe ndo uliiba mikoba ya mzalendo feki01:20 bingwa wa uzito wa chini