JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Unamaanisha nipo kwenye list ?
Kwani hujajua mpaka leo hii kilichopelekea JF ikafungiwa ni nini?

Kama hujajuaga kwa kukusaidia tu, kuna id kma 200 humu ambazo zinatafutwa kwa hudi na uvumba, na brother Mello alikataa kutoa IP addresses

Sasa wewe kwa uchangiaji wako humu unajiona ukikosa kwenye hizo id 200?
 
Kwani hujajua mpaka leo hii kilichopelekea JF ikafungiwa ni nini?

Kama hujajuaga kwa kukusaidia tu, kuna id kma 200 humu ambazo zinatafutwa kwa hudi na uvumba, na brother Mello alikataa kutoa IP addresses

Sasa wewe kwa uchangiaji wako humu unajiona ukikosa kwenye hizo id 200?
Sijioni nikikosa ikiwa watahitaji kufanya hivyo ,wameshamchukua baba mdogo wangu na mpaka sasa sijui yu hai au amekufa .
Mimi nipo kwenye serikali yao nikitumika sasa ni mwaka wa kumi na tisa .
Niliyokutana nayo ni mengi kiasi cha kutoogopa chochote ila zaidi ni kuwa sidhani kama kwasasa nipo kwenye list hiyo sababu nishajieka wazi kiasi kuwa hakuna mwanausalama ambaye atapata shida kunijua mimi ni nani kwa muda niliowahi share baadhi ya maisha yangu niliyopitia kuhusu manyanyaso yao .

Relax Nigga ,narudi kulala nyumbani sasa asubuhi ,tukutane saa nne kilabu cha mwampilingi tunywe ulanzi na kashata ,maisha ni haya haya rafiki
 
Mdogo wangu Intelligent businessman hivi unaweza kuwaza niko hapa na kuna mdada namuelewa naye yuko hapa sasa nawaza kanifuata mimi hapa au ndiyo vile amemaliza kugawa dozi kwa mwingine ,kiukweli kaniongezea mawazo sana
Wewe Binti wa zamani embu pumzika bwana muda wa kazi za kiume huu
Niliamka kunywa maji 😅 nikasikiliza hii nyimbo nikalala tena 😴

IMG_9588.jpeg
 
Sijioni nikikosa ikiwa watahitaji kufanya hivyo ,wameshamchukua baba mdogo wangu na mpaka sasa sijui yu hai au amekufa .
Mimi nipo kwenye serikali yao nikitumika sasa ni mwaka wa kumi na tisa .
Niliyokutana nayo ni mengi kiasi cha kutoogopa chochote ila zaidi ni kuwa sidhani kama kwasasa nipo kwenye list hiyo sababu nishajieka wazi kiasi kuwa hakuna mwanausalama ambaye atapata shida kunijua mimi ni nani kwa muda niliowahi share baadhi ya maisha yangu niliyopitia kuhusu manyanyaso yao .

Relax Nigga ,narudi kulala nyumbani sasa asubuhi ,tukutane saa nne kilabu cha mwampilingi tunywe ulanzi na kashata ,maisha ni haya haya rafiki
Pole sana ndugu kwa hilo lililomkuta baba yako mdogo, Mungu aendelee kumlinda huko alipo kama bado yupo hai.

Kiukweli hii serikali dhalimu imeumiza familia za watu wengi sana na bado inaendelea kuumiza familia zetu.

Ukifuatilia wahanga wengi wa utekaji wala hata hawakuwahi kufanya jambo lolote la kuliumiza taifa, zaidi ya kutoa kauli tu ambazo hazikuwapendeza hawa wadhalimu.

Yaani kutoa maoni kinzani au kutokukubaliana na serikali hii basi adhabu yako ni kutekwa,kuteswa na kupotezwa kabisa bila familia yao kukuona...!?

Kwa mateso ambayo tunapewa na hawa wadhalimu mpaka kuna muda huwa nahisi Headquater ya shetani iko hapa Tanzania.

Halafu wahanga wengi wa utekaji ukitoa makada wa CDM ni nyie watumishi wa umma.... nakumbuka hata kwenye Audio ya Mafwele iliyovuja karibu mateka wake wote aliojigamba amewashikiria ni watumishi wa uma.
 
Back
Top Bottom