Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,389
- 3,158
Tuko macho baridi kali
Siwapendi ccm
Siwapendi ccm
Sisi ma jobless tuna bahati sanaLeo raia na walala nje tujuane maana sielewi ila ukweli kujiajiri raha bwana .
Utapataje usingizi mzee na wakati genge la mafwele mida kma hii ndio linafanya kazi kwa uhuru na tayari uko kwenye listLeo raia na walala nje tujuane maana sielewi ila ukweli kujiajiri raha bwana .
Duh !Utapataje usingizi mzee na wakati genge la mafwele mida kma hii ndio linafanya kazi kwa uhuru na tayari uko kwenye list
Unamaanisha nipo kwenye list ?Utapataje usingizi mzee na wakati genge la mafwele mida kma hii ndio linafanya kazi kwa uhuru na tayari uko kwenye list
Anhaa kaka sio kweli kwanini sasa mnakosa usingizi mpaka usiku huu ambao tunaogopa kujiajiri tuko kukimbizana na mbu ?Sisi ma jobless tuna bahati sana
Ndio maana nasema ma jobless pro max tuna bahati ya kuwa na free time kila siku.Anhaa kaka sio kweli kwanini sasa mnakosa usingizi mpaka usiku huu ambao tunaogopa kujiajiri tuko kukimbizana na mbu ?
Hiyo kweli aiseeNdio maana nasema ma jobless pro max tuna bahati ya kuwa na free time kila siku.
Kwani hujajua mpaka leo hii kilichopelekea JF ikafungiwa ni nini?Unamaanisha nipo kwenye list ?
Sijioni nikikosa ikiwa watahitaji kufanya hivyo ,wameshamchukua baba mdogo wangu na mpaka sasa sijui yu hai au amekufa .Kwani hujajua mpaka leo hii kilichopelekea JF ikafungiwa ni nini?
Kama hujajuaga kwa kukusaidia tu, kuna id kma 200 humu ambazo zinatafutwa kwa hudi na uvumba, na brother Mello alikataa kutoa IP addresses
Sasa wewe kwa uchangiaji wako humu unajiona ukikosa kwenye hizo id 200?