JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Pole sana ndugu kwa hilo lililomkuta baba yako mdogo, Mungu aendelee kumlinda huko alipo kama bado yupo hai.

Kiukweli hii serikali dhalimu imeumiza familia za watu wengi sana na bado inaendelea kuumiza familia zetu.

Ukifuatilia wahanga wengi wa utekaji wala hata hawakuwahi kufanya jambo lolote la kuliumiza taifa, zaidi ya kutoa kauli tu ambazo hazikuwapendeza hawa wadhalimu.

Yaani kutoa maoni kinzani au kutokukubaliana na serikali hii basi adhabu yako ni kutekwa,kuteswa na kupotezwa kabisa bila familia yao kukuona...!?

Kwa mateso ambayo tunapewa na hawa wadhalimu mpaka kuna muda huwa nahisi Headquater ya shetani iko hapa Tanzania.

Halafu wahanga wengi wa utekaji ukitoa makada wa CDM ni nyie watumishi wa umma.... nakumbuka hata kwenye Audio ya Mafwele iliyovuja karibu mateka wake wote aliojigamba amewashikiria ni watumishi wa uma.
Ni kweli kabisa ,wahanga ni watumishi wanaoenda tofauti ila kelele hazikiki kwasbabu nani atatusemea kila mtu analinda ugali wake .
Utasikia habari wa wanachadema kuwekwa vizuizini ila kwa watumishi huwezi kusikia maana wengi wetu ni wanafiki na waoga wa maisha kila mtu anawaza akipqza sauti familia yake itakula nini ?

Tanzania government free Hamphrey polepole .
 
Bado sana kupambazuka ,je turndelee kuwalinda watanzania au tuiache nchi ivamiwe usiku huu 😃😃

Natania bwana nipo bar karibuni tufurahi
 
huu uzi leo nina kazi nao. Nadhani utanifaa sana, nimemaliza bando, nimechoka kusoma vitabu, nimecheza magemu yote yameniboa, movie kwenye PC nimeziona zote kama mara 768300836513.. Nani yupo macho japo nimtukane tu nafsi yangu itulie nilale.
 
Back
Top Bottom