Sijioni nikikosa ikiwa watahitaji kufanya hivyo ,wameshamchukua baba mdogo wangu na mpaka sasa sijui yu hai au amekufa .
Mimi nipo kwenye serikali yao nikitumika sasa ni mwaka wa kumi na tisa .
Niliyokutana nayo ni mengi kiasi cha kutoogopa chochote ila zaidi ni kuwa sidhani kama kwasasa nipo kwenye list hiyo sababu nishajieka wazi kiasi kuwa hakuna mwanausalama ambaye atapata shida kunijua mimi ni nani kwa muda niliowahi share baadhi ya maisha yangu niliyopitia kuhusu manyanyaso yao .
Relax Nigga ,narudi kulala nyumbani sasa asubuhi ,tukutane saa nne kilabu cha mwampilingi tunywe ulanzi na kashata ,maisha ni haya haya rafiki