Masai wa Town
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 6,715
- 24,511
1:08 nakula tunda
Sasa hilo tunda ndo linaliwaje na huku unachat1:08 nakula tunda
Kuna majirani hapa wanamwaga maji saana kuuliza nini tatizo eti ni happy birthday01:38 intelli fvckin world
Litakuwa apple hiloSasa hilo tunda ndo linaliwaje na huku unachat
Shida nini?yalaaniwe mapenzi 0017
kumekucha kakaShida nini?
Kama ulishafikia malengo peke yako na unataka kuoa utaangalia nini?😊Mastory ya Bey
My people, mwanamke anaweza kukubali kuolewa na wewe lakini haimaanishi kwamba anakupenda
Anaweza kuamua kukuzalia mtoto lakini haimaanishi anakupenda
Anaweza kukwambia anakupenda sana lakini ikawa ni story tu au maneno ya mdomoni tu
Anaweza kukutambulisha kwa ndugu zake au akakumbatia au kukubusu hadharani usifikir ndio kwamba anakupenda
Mwanamke anayekupenda kwa dhati ni yule ambaye yupo pamoja na wewe katika kupambana kwako,yupo pale kukusapoti katika struggle zako,na kuhakikisha yupo pamoja na wewe mpaka mfikie malengo yenu pamoja
Ukimpata mwanamke wa namna hii basi usimuache akupotee mkamate kwa mikono miwili na ulimlinde asije akakuponyoka