JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Sema Mwa-mwe-mwi-mwo-mwu
Rudia x 3
Sema fwa -fwe - fwi-fwo-fwu
Rudia x 3
Sasa sema Mwi-fwa
Rudia x 6

Tushamalizana, usinidai ada ya mwakani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lol!! nakugawa bure Mwanafunzi wangu kipenzi.

Leo umenifurahisha sana!!

Kesho ukichelewa sikuchapi au kukupata adhabu ya kubeba moramu, sawaaa!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lol!! nakugawa bure Mwanafunzi wangu kipenzi.

Leo umenifurahisha sana!!

Kesho ukichelewa sikuchapi au kukupata adhabu ya kubeba moramu, sawaaa!!
Hizi ndio risiti zangu za ada ya mwakani!


[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kweli unastahili kusoma bure kuanzia mwakani

Mlale unono walimu wangu wapenzi wa nafsi yangu!
 
Back
Top Bottom