Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,864
Bantu Lady Keshatia timu. Anamwaga miemoji ya vicheko tu unaambiwa.Asante expert wangu kwa maono yako juu yangu ,shukrani sana
Handeni,Tanga
Bantu Lady Keshatia timu. Anamwaga miemoji ya vicheko tu unaambiwa.Asante expert wangu kwa maono yako juu yangu ,shukrani sana
Handeni,Tanga
Tajir Bantu Lady hana baya kabisa yani, haya endeleeni na mambo yenu sasaBantu Lady Keshatia timu. Anamwaga miemoji ya vicheko tu unaambiwa.
Niambie sasa niko hapa 😅😅😅😅Bantu Lady Keshatia timu. Anamwaga miemoji ya vicheko tu unaambiwa.
Shukran kwa kumsogeza karibu.Tajir Bantu Lady hana baya kabisa yani, haya endeleeni na mambo yenu sasa
Jana ikawa tumepishana. Leo nikaomba kazi ya ulinzi shirikishi ilimradi tu niwe macho na wewe mrembo.Niambie sasa niko hapa 😅😅😅😅
Tajiri yetu Etugrul Bey u mzima kabisa tajiri? Nimefika tajiri, naanzaje kuacha kuja na nimeitwa na tajiri yangu. Jana huyu mwana mpotevu alilala. Leo zamu yake kukesha mimi nalala 😁😁😁Tajir haiitwi hivyo expert wangu,hapo unafeli
Tajiri anaombwa ahudhurie kama ikimpendeza
Tajir Bantu Lady nimetumwa nifikishe ujumbe,yule mtu aliyelala jana anaomba ikikupendeza ukaribie jukwaani tafadhali
Asante
Asante tajir yangu,yani jamaa jana kazingua kweli,hajui tajir akiwa katika mood mambo yanakuwa poa sanaTajiri yetu Etugrul Bey u mzima kabisa tajiri? Nimefika tajiri, naanzaje kuacha kuja na nimeitwa na tajiri yangu. Jana huyu mwana mpotevu alilala. Leo zamu yake kukesha mimi nalala 😁😁😁
Ahsante sana tajiri, napenda sana mambo ya historia. Hiyo ya bomu la Ocklahoma City miaka ya baadaye, nilifatilia sana hadi leo sura ya Timo iko kichwani, alikuwa mrefu.LEO KATIKA HISTORIA
Leo katika Historia – Juni 2
Haya ni baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea siku kama ya leo:
- 1953 – Malkia Elizabeth II alitawazwa rasmi katika Abbey ya Westminster, Uingereza. Hii ilikuwa mara ya kwanza kwa hafla ya kutawazwa kwa malkia kuonyeshwa moja kwa moja kwenye televisheni, ikivutia mamilioni ya watazamaji duniani.
- 1946 – Italia ilipiga kura ya maoni na kuamua kuacha mfumo wa kifalme na kuwa Jamhuri ya Italia. Tukio hili linaadhimishwa kila mwaka kama Siku ya Jamhuri.
- 1924 – Sheria ya Uraia kwa Wenyeji wa Marekani ilipitishwa, ikiwapa uraia watu wote wa asili ya Kiasili waliokuwa wamezaliwa ndani ya mipaka ya Marekani.
- 1997 – Timothy McVeigh alipatikana na hatia ya mauaji na kula njama kutokana na shambulio la bomu la jengo la serikali la Alfred P. Murrah huko Oklahoma City mwaka 1995, ambapo watu 168 walipoteza maisha.
- 1966 – Surveyor 1, chombo cha anga cha Marekani, kilitua kwa mafanikio kwenye uso wa Mwezi, ikiwa ni mara ya kwanza kwa chombo cha Marekani kutua kwa upole kwenye sayari nyingine.
- 1979 – Papa John Paul II alitembelea Poland, akiwa Papa wa kwanza kutembelea nchi ya Kikomunisti, na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijamii na kisiasa katika eneo hilo.
- 1935 – Babe Ruth, mmoja wa wachezaji maarufu wa baseball, alitangaza kustaafu kwake baada ya kucheza misimu 22 na kushiriki katika michuano 10 ya World Series.
- 1941 – Lou Gehrig, mchezaji mashuhuri wa baseball, alifariki dunia kutokana na ugonjwa wa ALS, ambao baadaye ulipewa jina lake kama "ugonjwa wa Lou Gehrig".
😅😅😅😅😅 leo nalala, inabidi urudi tu useme kapangwa mwingine kwenye ulinzi shirikishi 😄😄😄😄Jana ikawa tumepishana. Leo nikaomba kazi ya ulinzi shirikishi ilimradi tu niwe macho na wewe mrembo.
We mtoto,nakusubiri pm mwenzio.😅Ahsante sana tajiri, napenda sana mambo ya historia. Hiyo ya bomu la Ocklahoma City miaka ya baadaye, nilifatilia sana hadi leo sura ya Timo iko kichwani, alikuwa mrefu.
Dah..😅😅😅😅😅 leo nalala, inabidi urudi tu useme kapangwa mwingine kwenye ulinzi shirikishi 😄😄😄😄
Pm yangu mbovu, fungua iliingia kutu, Kaka Max akasema niitupe tu 😅We mtoto,nakusubiri pm mwenzio.😅
Tatizo umepiga pini pm.
Nimesikitika sana. Sina bahati.Pm yangu mbovu, fungua iliingia kutu, Kaka Max akasema niitupe tu 😅
Huna baya tajirAhsante sana tajiri, napenda sana mambo ya historia. Hiyo ya bomu la Ocklahoma City miaka ya baadaye, nilifatilia sana hadi leo sura ya Timo iko kichwani, alikuwa mrefu.
MamboAhsante sana tajiri, napenda sana mambo ya historia. Hiyo ya bomu la Ocklahoma City miaka ya baadaye, nilifatilia sana hadi leo sura ya Timo iko kichwani, alikuwa mrefu.
PoaMambo