ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,261
Mungu aniepushieNi kweli.
Lakini siijui kesho, mabonge nyanya hukonda.
Mungu aniepushieNi kweli.
Lakini siijui kesho, mabonge nyanya hukonda.
Huyo tipwatipwa ananihusu nini mie?
Hapana mdogo wangu endelea na mmeo nawaona mnafuraha wenyewe cherekooNimefurahi! Ukikubali unipunguzie majukumu kwa huyu mme wangu mpenzi.
Dah!Good uwe na nidham hiyo hiyo .unaona inavyopendeza?
Twende kazi,Hapana mdogo wangu endelea na mmeo nawaona mnafuraha wenyewe cherekoo
Unavizia mlinzi nikienda utawalaTwende kazi,
Day 3 of waiting for pic.
12:14 AM.
Ombeni nanyi mtapewa,Unavizia mlinzi nikienda utawala
SawaOmbeni nanyi mtapewa,
Bisheni nanyi mtafunguliwa,
Asema BWANA wa majeshi.