Me mwenyewe nipo nakula k vant hapa,liwalo na liweee.karibuni

Nimepamiss home Mbeya mama John Ilomba huko.

Sasa nipo Nanjilinji huku nalima mihogo daaah!
Safi sana.
Kilimo ndo uti wa mgongo mwaya.
Kvat inatoa mawazo yote.
Sema nini, kvant za sahv mbona kama hazinileweshi?
Ina maana nimekuwa mlevi au?
Naweza piga muwa mkubwa mzima woman alone!! na nikaenda home fresh tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom