JamiiForums Usiku wa manane
hauna lolote em kwendraaaaa
Nini wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Fingua roho hiyo....
Ushaambiwa fil duniya wal akhera
An 2 in 1 pote pote yupo kama majiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
aweeee unataka kunipotosha nasemajeee siko tayal kijana,,, alf fanya uoe ili uwe busy na ndoa maan unakoelekea sio kuzuri kabisaaaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Unapigia mbuzi gitaaaa..
Mi na kuoa wapi na wapi kama leo nilikua napika ftari ya nazi....
Nazi nazi nazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
nitarudi ukishasinzia mi siwez kuongea chchte bila mwanasheria wangu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Unaogopa swagalization sio....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Ungetulia hapa hapa ungeona mbna ungekaa wewe
 
Back
Top Bottom