Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,146
wapendwa ninaomba kwa yeyote anayejua Kupika Ftari anisaidie maelezo ya jinsi ya kupika:
Futari ya viazi vitamu na maharage
Intelligent businessman
Hope urassa
Half american
Analyse
Winnone
Lamomy na wizo![]()
Kijana tena 😂😂😂😂🙌🙌🙌nimechelewa kuona post yako... naamini umeshapewa muongozo si ndio kijana?
Weee tulia acha kumpa kichwa basi...,😂😂😂😂mpka atume barua ya maombi kwanza
Nataka unifundishe kupika pilau la nazi 🙏🙏🙏🙏🙏nipo ndugu yangu![]()
Poor Brain kazi kwako sasampka atume barua ya maombi kwanza
😂😂😂😂😂😂😂 Unanitafutia ban ya bure hapa sio...nilisahau kumalizia wa "hovyo"![]()
Weee tulia acha kumpa kichwa basi...,![]()



Mjep kumbe hovyo na wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂Poor Brain kazi kwako sasa
Utanifaa wewe fil duniya wal akhira.mi sinaga x ila nina vi shetwani vidog vidog vilivyotumwa kuja kunipima imani na vilishindwa
😂😂😂😂😂😂😂 Hovyo kabisa wewe..unataka nimuongezee awe na vichwa vitatu au![]()
Weeeeh """fil duniys wal akhira """Utanifaa wewe fil duniya wal akhira.
Allah atufanyie wepesi.
Sema Amin.
Unanitafutia ban ya bure hapa sio...
Endelea taropoka ya moyoni mimi


sijakuzoea hivi baba kunichomesha
yan nataman nikuzomee




Ila uliye mzoea ni BICHWA KOMWE - au....bora mfungo uishe ili utoe hayo makucha vizurisijakuzoea hivi baba kunichomesha
yan nataman nikuzomee
![]()
Weeeeh """fil duniys wal akhira """
Hii nimeipenda hii![]()

Utanifaa wewe fil duniya wal akhira.
Allah atufanyie wepesi.
Sema Amin.
sorry