Nipo kaka, wame itoa ban ndefu 🤒Oya Intelligent businessman umerudi
Ulitakiwa utengeze backup ID temporary. Wakila uku unakuja na nyingine for a time being. Ila karibu mzee.Nipo kaka, wame itoa ban ndefu 🤒
kaka mi I'd moja Ina nitosha tu, beside Kuna rafiki Ali taka nipa I'd yake niperuzi kidogo.Ulitakiwa utengeze backup ID temporary. Wakila uku unakuja na nyingine for a time being. Ila karibu mzee.
Kaka tusameane sisi ni binadamu kaka hili limepita kaka wewe ni rafiki yangu kakaVincenzo Jr sorry about that shit about your mother, I apologize kwa Hilo coz naelewa umuhimu wa wazazi.
But at the same time, my soul tells me Kama uli deserve hivi 🤒.
So acha ni flash Hilo la mama kwanza,
Yashapita. Ulipokosea usirudie achana na issue ndogo ndogo.kaka mi I'd moja Ina nitosha tu, beside Kuna rafiki Ali taka nipa I'd yake niperuzi kidogo.
Ban ilikuwa ndefu kidogo, sema tune shinda mzee
We jamaa mwamba sana. Hahahaaa. Pamoja sana tupo.kama family.Kaka tusameane sisi ni binadamu kaka hili limepita kaka wewe ni rafiki yangu kaka
Kabisa kaka sisi ni family kakaWe jamaa mwamba sana. Hahahaaa. Pamoja sana tupo.kama family.
Umechelewa kuja leo.Here I am mpendwa
Ni kweli, beside sikujua upendo ni mkubwa sana Humu.Yashapita. Ulipokosea usirudie achana na issue ndogo ndogo.
Dogo umeanza kuvuta bangi sasa? Habari za kupika unaniuliza Mimi? 😅😅😅wapendwa ninaomba kwa yeyote anayejua Kupika Ftari anisaidie maelezo ya jinsi ya kupika:
Futari ya viazi vitamu na maharage
Intelligent businessman
Hope urassa
Half american
Analyse
Winnone
Lamomy na wizo 😂😂😂😂
😂😂😂😂 Kusemaje wee ujatokea huku au....Dogo umeanza kuvuta bangi sasa? Habari za kupika unaniuliza Mimi? 😅😅😅
Anyway, sio kesi mchumba naomba umpe maelekezo kwa niaba yangu
FUTARI YA VIAZI VITAMUVincenzo Jr
mshamba_hachekwi
Kama mnajua mnaweza nisaidia au kama una mtu unajua anajua mtag hapa aje 🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Usichanganye na maharage kaka utapata gesi tumboni 😁😂wapendwa ninaomba kwa yeyote anayejua Kupika Ftari anisaidie maelezo ya jinsi ya kupika:
Futari ya viazi vitamu na maharage
Intelligent businessman
Hope urassa
Half american
Analyse
Winnone
Lamomy na wizo 😂😂😂😂
viazi vitamu na maharage?Vincenzo Jr
mshamba_hachekwi
Kama mnajua mnaweza nisaidia au kama una mtu unajua anajua mtag hapa aje 🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Weee jamaa umetisha sana ..FUTARI YA VIAZI VITAMU
MAHITAJI
1.Viazi vitamu vikubwa 5
2.Nazi pakti 1
3.Sukari vijiko vha chakula 5
4.Arki Vanilla kijiko cha chai 1
5.Custard kijiko cha chakula 1
9.Hiliki punje 10
10.Chumvi kijiko cha chai 1
11.Maji kiasi
MAANDALIZI
1.Menya viazi na uvikate vipande vidogo vidogo
2.Vioshe na uviweke kwenye sufuria safi na maji kiasi
4.Menya na utwange hiliki
5.Chukua tui gawa sehemu mbili.Robo weka kwenye kikombe lilobakia weka kando
6.Chukua tui robo kikombe weka custard na ikoroge vizuri
JINSI YAKUPIKA
1.Chukua chumvi weka kwenye viazi vyako weka jikoni acha vichemke hadi viive
2.Mwaga maji yaliyobaki acha viazi vilivyo iva bila ya maji
3.Weka tui lililobaki kwenye viazi viloiva pamoja na sukari na hiliki na urudishe jikoni kwa moto wa wastani
4.Acha vichemke kwa dakika 5 hadi tui lipungue
5.Malizia kwa kuweka arki na tui lenye custard
6.Acha dakika 1 jikoni na viepue
7.Acha vipoe pakua tayari kwa kula
8.Inapendeza kula na samaki wa kukaanga
Angalizo:
1.Usiviache vikachemka hadi vikavurugika kabla ya kuweka tui
2.Usikoroge mpaka wakati wa kuvipakua
3.Unaweza kupika na nazi ya kawaida au ya unga
4.Sio lazima kuweka custard
Sasa nimepewa na marage kabisa.Usichanganye na maharage kaka utapata gesi tumboni 😁😂