JamiiForums Usiku wa manane
tulia dawa ikuingie
mara ya mwisho mimi nilitoa dawa nikajikuta nna ban ya mwezi mzima
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Sio ukute, ajira zipo na mshahara unapewa kabla hata ya kuanza kazi.
Mmmh 🤔🤔🤔🤔🤔
Aiseee katika kitu tashukuru ni hiki
Mkuu Fake P kama kuna sehemu kwenye kuongea kwetu niliteleza kukutolea maneno machafu naomba nisehe mkuu...
Sikujua kabisa wadhifu wako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Half american kweli najuta kuzarau mtu aiseee ona sasa now nimeitwa na tajiri
 
Back
Top Bottom