JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hapa kweli nimebugi.

Sorry.🙁
Dr sura yako sio ngeni tumeonana wapi vile
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Lamomy ni kweli wewe wa kumuambia hivo mdogo wako....???

Yaani umekuja huku kumbe nimejichoma mwenyewe khaaa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]

alula alulaa[emoji1551][emoji1551][emoji1551][emoji1551][emoji1551] amuite na wizo tu waje wakuchome vizuri
 
Mnyakyusa mwenzangu huyo..sijui kwanini katika wengi yeye mmoja wapo niliyechagua kumweshimu.But no worry kama kuna sehemu umeona nimepunguka na sijawatendea haki I swear hutoona hiyo shida tena.I jst respect you all[emoji1431][emoji1431][emoji1431]

dada em achana na uyu fake[emoji23] tukumbuke lengo la uzi ni NO STRESS"",, muache aendelee kuogopa tu hana faida[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo kwa wizo hapo yaani mimi na wewe tupo pamoja.
Tutayaoga hapa hadi utajuta wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu dada ako nae kigeu geu...
Kabla ajaja hapa tuliongea vizuri tuu[emoji23][emoji23][emoji23]

siwez kuyaoga dada atanitetea[emoji1787][emoji1787]....... lazima awe kigeu geu tulifunzwa kuto kusalitiana sisi ni nduguu[emoji854][emoji854]
 
Mnyakyusa mwenzangu huyo..sijui kwanini katika wengi yeye mmoja wapo niliyechagua kumweshimu.But no worry kama kuna sehemu umeona nimepunguka na sijawatendea haki I swear hutoona hiyo shida tena.I jst respect you all🙏🏽🙏🏽🙏🏽
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
leo umenionyesha unyaki live live.. hujawahi kupunguka kwangu mumy hizi I'd tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
usifanye hivyo bhana utanipa unyonge we chepuko la sameja
 
Back
Top Bottom