JamiiForums Usiku wa manane
sawa dada angu hautoniskia teinaaaa nikirudia bora umuite shem aje anisemee maaan na yeye anamaneno mazito sitamani kupishana nae kweny engo mbayaa


nafata ushauri wa dada sitakiwi kukusogelea qabisaaaaaa
Lamomy ni kweli wewe wa kumuambia hivo mdogo wako....???

Yaani umekuja huku kumbe nimejichoma mwenyewe khaaa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lamomy ni kweli wewe wa kumuambia hivo mdogo wako....???

Yaani umekuja huku kumbe nimejichoma mwenyewe khaaa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usiwe unaniita ukiwa unanyapia demu, mwenzio mi kivuruge wananijua ohhh 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hapa kweli nimebugi.

Sorry.πŸ™
Dr sura yako sio ngeni tumeonana wapi vile
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Mnyakyusa mwenzangu huyo..sijui kwanini katika wengi yeye mmoja wapo niliyechagua kumweshimu.But no worry kama kuna sehemu umeona nimepunguka na sijawatendea haki I swear hutoona hiyo shida tena.I jst respect you all

dada em achana na uyu fake tukumbuke lengo la uzi ni NO STRESS"",, muache aendelee kuogopa tu hana faida
 
Back
Top Bottom