JamiiForums Usiku wa manane
tatiz dozi zako ni kaliii zinaua chap ila hii inapita taratiiibu
ndiyo mana nakuangalia tu kipochi cha sameja najiimbia zangu nguruwe pita mkuki sina
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Boss ni wewe achana na huyo wa mahabusu

Mmmh 🤔🤔🤔🤔🤔
Aiseee katika kitu tashukuru ni hiki
Mkuu Fake P kama kuna sehemu kwenye kuongea kwetu niliteleza kukutolea maneno machafu naomba nisehe mkuu...
Sikujua kabisa wadhifu wako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Half american kweli najuta kuzarau mtu aiseee ona sasa now nimeitwa na tajiri
Niwaambie kama semaji la Intel Business Col Kampuni yetu bado ipo imara pamoja na changamoto za mwenyekiti wetu, ila tuwatoe hofu shareholder wetu na huu mromo mromo wa adui zetu ghafi
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Niwaambie kama semaji la Intel Business Col Kampuni yetu bado ipo imara pamoja na changamoto za mwenekiti wetu, ila tuwatoe hofu shareholder wetu na huu mromo mromo wa adui zetu ghafi
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Nimecheka kwa sauti jamni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mmmh 🤔🤔🤔🤔🤔
Aiseee katika kitu tashukuru ni hiki
Mkuu Fake P kama kuna sehemu kwenye kuongea kwetu niliteleza kukutolea maneno machafu naomba nisehe mkuu...
Sikujua kabisa wadhifu wako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Half american kweli najuta kuzarau mtu aiseee ona sasa now nimeitwa na tajiri
Ishi na watu vizuri tukuambie matajiri ni wapi.
 
Back
Top Bottom