Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 5,012
- 14,873
ndiyo mana nakuangalia tu kipochi cha sameja najiimbia zangu nguruwe pita mkuki sinatatiz dozi zako ni kaliiizinaua chap ila hii inapita taratiiibu
![]()
ndiyo mana nakuangalia tu kipochi cha sameja najiimbia zangu nguruwe pita mkuki sinatatiz dozi zako ni kaliiizinaua chap ila hii inapita taratiiibu
![]()
Ndo uwepo sasa alaaah
Dada ako mwenyewe kasepa shwaaaah
Sijui nani now atakupa ushauri wa kukwepa watt wa town ,![]()


nitaficha wapi sura yangu mmi...... saiv nitakua siongei chochot na watoto wa mjini bila wakil na dada angu


😂😂😂😂😂😂😂😂bora nikajilalie ili nisije nikaingia mkengenitaficha wapi sura yangu mmi...... saiv nitakua siongei chochot na watoto wa mjini bila wakil na dada angu
![]()
🤣🤣🤣vitu viwili tofauti aiseeukinikuta kwenye kwaya yetu sasa huwezi amini ndo huyu binti wa sauti ya pili
Weeeeeh tokaaa hukoooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
![]()
Nilikua nakuona tuu na kidomo chako....
Ropoka sasa wakufinye mdomo huo![]()


mi nina kidomo



.... nimepoa mwenyewe
nithameee basii na wew kwan hautaniwiWeeeeeh tokaaa hukoooo
Huyo kazidi kuonewa jamni daaah
Sas hapo unalala vipi![]()




Boss ni wewe achana na huyo wa mahabusu
Niwaambie kama semaji la Intel Business Col Kampuni yetu bado ipo imara pamoja na changamoto za mwenyekiti wetu, ila tuwatoe hofu shareholder wetu na huu mromo mromo wa adui zetu ghafiMmmh 🤔🤔🤔🤔🤔
Aiseee katika kitu tashukuru ni hiki
Mkuu Fake P kama kuna sehemu kwenye kuongea kwetu niliteleza kukutolea maneno machafu naomba nisehe mkuu...
Sikujua kabisa wadhifu wako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Half american kweli najuta kuzarau mtu aiseee ona sasa now nimeitwa na tajiri
😂😂😂😂😂 Leo umeyavaa sema sina budi kukusamehe..mi nina kidomo
.... nimepoa mwenyewe
nithameee basii na wew kwan hautaniwi
Weee kuweza...😂😂😂😂😂😂si analala hapo juu ya nyama nyama![]()
Nimecheka kwa sauti jamni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Niwaambie kama semaji la Intel Business Col Kampuni yetu bado ipo imara pamoja na changamoto za mwenekiti wetu, ila tuwatoe hofu shareholder wetu na huu mromo mromo wa adui zetu ghafi![]()
![]()
![]()
Leo umeyavaa sema sina budi kukusamehe..
Akija dada ako usijifanye kunyanyua kidomo kunisema mm...
Ntakuja kukufinya wewe🤏🤏

kwanza kwanni ulimuitaIshi na watu vizuri tukuambie matajiri ni wapi.Mmmh 🤔🤔🤔🤔🤔
Aiseee katika kitu tashukuru ni hiki
Mkuu Fake P kama kuna sehemu kwenye kuongea kwetu niliteleza kukutolea maneno machafu naomba nisehe mkuu...
Sikujua kabisa wadhifu wako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Half american kweli najuta kuzarau mtu aiseee ona sasa now nimeitwa na tajiri
Nilijua tu wewe si mmbeaNimecheka kwa sauti jamni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilitaka kujua udhaifu wako upo wapi...😂😂😂😂sawa nimekuelewa ila na wew ukome kunichonganishakwanza kwanni ulimuita
Tajiti wa mahabusu ni kibarua tuNiwaambie kama semaji la Intel Business Col Kampuni yetu bado ipo imara pamoja na changamoto za mwenyekiti wetu, ila tuwatoe hofu shareholder wetu na huu mromo mromo wa adui zetu ghafi![]()
![]()
![]()