Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,091
- 111,711
Kwani darajani na usiku huu maji unayaonea wapi?Jirani sipendi kuona maji nasikia kizunguzungu 🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo jirani huogagi, hunywi maji 😂
Mbona kama huyu nae tajiri mwingine.
Kwani darajani na usiku huu maji unayaonea wapi?Jirani sipendi kuona maji nasikia kizunguzungu 🤣🤣🤣🤣
Mbona tajiri kama kakimbia hivi jamani , 😂 y😂😂😂😂Hana baya tajiri Fake P mpaka mbwa wake wanazurura na magari😂
kumbe sisi hutuheshimu kabisaKuna watu nilichagua kutaniana nao lakini siyo huyo bro...labda kama anataka niiondoe ile heshima
Stay blessed 🙏🏽Hapa kweli nimebugi.
Sorry.🙁
Huyo achana naye atakuharibia usichana wako, mwachie wizo ndio wanawezana![]()


na alikua ameanza kuniita my
,,,, ngoj nimfungie vioo kabisaaa abaki na ant yake🤣🤣🤣nisamehe bure mweekumbe sisi hutuheshimu kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
Muache tajiri awezi kimbia usiku huu, jogging ni asubuhi.Mbona tajiri kama kakimbia hivi jamani , 😂 y😂😂😂😂
Yupo jukwaa la siasa kule....🤣🤣🤣🤣 ngoja amalize mizunguko yake lazima aje
🤣🤣🤣🤣 tumpigie simu wa nini achana naye, najua jinsi ya kumkomesha hawezi kunishinda mimi mtu mwenyewe kaja town na fusso la mkaa 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️usisikilize maneno ya wambea kama huy pua breinini wachonganishi mnoo
kazi yao ni kuvuruga mahusiano ya watu
...au tumpigie sim tuskie kama kwel yupo kweny makelel ya bar
Prooo max kwa kazi yako 🙌🙌🙌🙌🙌Muache tajiri awezi kimbia usiku huu, jogging ni asubuhi.
Ndiyo yy huyo mtoto bado mbichi hata album haijazinduliwa![]()








ngoj wachawi wakusikieMsalimie sana namuombea azidi kubarikiwa kuliko wanawake oteNdiyo yy huyo mtoto bado mbichi hata album haijazinduliwa 😜
Nioge mi chura au kambale?? Nna masharti sitakiwi kuwa karibu na maji… si unajua mi mkinga we vipi jirani 🤣🤣🤣Kwani darajani na usiku huu maji unayaonea wapi?
Kwahiyo jirani huogagi, hunywi maji 😂
Mbona kama huyu nae tajiri mwingine.
😂😂😂😂😂 Naona anakidanganya huyo..🤣🤣🤣🤣 tumpigie simu wa nini achana naye, najua jinsi ya kumkomesha hawezi kunishinda mimi mtu mwenyewe kaja town na fusso la mkaa 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Never ever 😂![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
like ulinambia mwijaku anakuinspire albin?![]()
tumpigie simu wa nini achana naye, najua jinsi ya kumkomesha hawezi kunishinda mimi mtu mwenyewe kaja town na fusso la mkaa
![]()




nakuelewa dada haujawai kufeli kweny vitu kama hivi... ila usimkomeshe sana maan unajua anavyo kupendraaaaNaona anakidanganya huyo..
Anasema mimi mchonganishi wakati kweli huku hana nidhamu
..
Mkanye najua anakuogopa hatareeee hapo alipo kapoaaa na bado ajakuja wizo![]()




em niache bwanaUsimfungie sana ila usimsogelee karibu atakutafuna 🤣🤣🤣🤣na alikua ameanza kuniita my
,,,, ngoj nimfungie vioo kabisaaa abaki na ant yake