JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

kumbe sisi hutuheshimu kabisa
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
🤣🤣🤣nisamehe bure mwee
 
usisikilize maneno ya wambea kama huy pua breini [emoji57]ni wachonganishi mnoo [emoji3061]kazi yao ni kuvuruga mahusiano ya watu[emoji3525]...au tumpigie sim tuskie kama kwel yupo kweny makelel ya bar
🤣🤣🤣🤣 tumpigie simu wa nini achana naye, najua jinsi ya kumkomesha hawezi kunishinda mimi mtu mwenyewe kaja town na fusso la mkaa 😜🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
🤣🤣🤣🤣 tumpigie simu wa nini achana naye, najua jinsi ya kumkomesha hawezi kunishinda mimi mtu mwenyewe kaja town na fusso la mkaa 😜🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
😂😂😂😂😂 Naona anakidanganya huyo..
Anasema mimi mchonganishi wakati kweli huku hana nidhamu
😂😂😂😂😂😂😂..
Mkanye najua anakuogopa hatareeee hapo alipo kapoaaa na bado ajakuja wizo 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumpigie simu wa nini achana naye, najua jinsi ya kumkomesha hawezi kunishinda mimi mtu mwenyewe kaja town na fusso la mkaa [emoji12][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuelewa dada haujawai kufeli kweny vitu kama hivi... ila usimkomeshe sana maan unajua anavyo kupendraaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naona anakidanganya huyo..
Anasema mimi mchonganishi wakati kweli huku hana nidhamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Mkanye najua anakuogopa hatareeee hapo alipo kapoaaa na bado ajakuja wizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] em niache bwana
 
Back
Top Bottom