Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,586
- 11,365
Mpare kivipi ?Hope kumbe we mpare
Mpare kivipi ?Hope kumbe we mpare
Aha mmeru🤣Mpare kivipi
Hapana.Aha mmeru🤣
Bora umeniwahi mapema Mjukuu, nilishaanza kupokea vipande 30 vya hela kama alivyofanya Yuda enzi anamsaliti Bwana Yesu
Nilikuwa nimeshapigia mahesabu ya kupata hela ya Kiko kabisa![]()
lazima mtu ageuke kuku wa eid au pasakaHapana hao watani zangu tu wala sio kesi mkuuBasi mpare.
Ila usiwe kesi
Safi sana, kumbe🔥my dear we acha tu huy ndio babu wet wa JF nzima hata wew ni babu yako piaa alikuepo toka enzi za BC![]()
Safi sana, kumbe![]()
Ndio mda sana huku vjjn siunajua..yeah ndo hivyo mumy,, eh ushamaliz kupika?
Winnone na yule shadow mume wenu na yule jirani ako mandala wako wapi😜Ndio mda sana huku vjjn siunajua..
yupo wapi madam to yeye
Hapa bila kujiongeza nitaachwa ngoja niwasiliane kijijini nimpate mtaalam arudishe penzi letubabu itabidi tu ufumbe macho usikubali kupokea chchtelazima mtu ageuke kuku wa eid au pasaka
Ndio mda sana huku vjjn siunajua..
yupo wapi madam to yeye