Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,146
[emoji6]
ndo tumetoka kukusema jamani[emoji23][emoji23] tamu ya x wangu[emoji1316][emoji1787][emoji1787]
[emoji6]
🤣🤣🤣🤣🤣 mweeKabisa ongea nae huyu ananitafutia sababu tu
Simtaki kwa kweli nisijerogwa buresitaki mpelekee to yeye wako
🤣🤣🤣🤣 mnipumzishe jamani...,ndo tumetoka kukusema jamani[emoji23][emoji23] tamu ya x wangu[emoji1316][emoji1787][emoji1787]
Sikuhizi wanalindana mchana,kuibiwa mchezo🤣🤣Mmeanza lindo mapema
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnipumzishe jamani...,
Sikuhizi wanalindana mchana,kuibiwa mchezo[emoji1787][emoji1787]
🤣🤣madafu tena🥴9:24 PM pesa madafu
🤣🤣🤣🤣🤒utapumzika kaburin dada[emoji23][emoji23][emoji23] ila na huko tutakufuata ili uwe mzimu utukinge na watu wabaya[emoji1787][emoji1787] labda ususe
🤣🤣🤣moto unao aiseekabisaa mi sijakuepo siku moja tu ila nmekuta mambo vungulu vangati kwahiy mda wote tunatakiwa kuchungulia lindo[emoji847]
Njoo tunywe madafu🤣🤣madafu tena🥴
Hamna Cha kumpoteza, mbona ma black wengine wako poa.Aisee 🙌
Naona wanataka kumpoteza P.Diddy pia kama ilivyokuwa Kwa R. Kelly
Hayo mambo naona yanataka kuanza kushika Kasi na huku Bongo...nimeona Kuna wimbi la Wanawake kusema wamenyanyaswa na Waume zao Kwa kuingiliwa bila ridhaa zao.
Baada ya hapo Wanaume tunakula Mvua za miaka 30 Jela na kuwaacha wao wakiendelea kula Bata Mtaani 🙌
Babu yako nimeshamtumia hela ya kahawa hana shida huyojidanganye,, mie babu yang G kashamaliz kila kitu sirogeki nakwambia
Hiyo ni suala private kidogo, ila ni harakati tu za intelliMchana hua unafanya nn
Nikutumie kofia zile za kushiba kwa majani😀, huto lichukia jua kabisa.Jua kali mno
Wife hutaki iPhone 15 pro max?my dear mim na huyo shadow tumebreak-up moyo wake upo kwa da kidoti, nilikua naforce tu kuwa kweny moyo wake ila ukweli ni kwamba sipendwi,, saiv nipo singo nainjoi
Babu yako nimeshamtumia hela ya kahawa hana shida huyo
Jamaa ajipange hii case ni ngumu sanaHamna Cha kumpoteza, mbona ma black wengine wako poa.
Huyo human trafficking case ime mponza, Ina semekana ana uza watu na viungo pia.
Tetesi za kufanya MAUAJI zime mkost, sema kakimbia aisee, hela ime msaidia.
Maana asinge kuwa na private jet, au pia kumegewa taarifa ya kushikwa