JamiiForums Usiku wa manane
babu mi sidhan kama nitawez kuvumilia mpka kesho,, bora nije saiv ili kesho inikute huko
Ngoja nikuandalie jamvi kabisa ukifika usipate shida Mjukuu 🤗

Nimemweleza Bibi yako kuhusu hilo, amesema atakuandalia dozi aliyowahi kunipa Mimi Mwaka 47 hadi nikatangaza Ndoa na kumwoa ndani ya Siku 5 😜🙌
 
Ngoja nikuandalie jamvi kabisa ukifika usipate shida Mjukuu

Nimemweleza Bibi yako kuhusu hilo, amesema atakuandalia dozi aliyowahi kunipa Mimi Mwaka 47 hadi nikatangaza Ndoa na kumwoa ndani ya Siku 5

haha sawa babu, mwambie bibi asisahau na maziwa ili nikifika nipooze koo maan nimelia mnoo nusu macho yadondoke
 
Back
Top Bottom